Mtaani ni mwendo wa kupishana na costal za maua tu, tunachimba tunazika

Sasa tuanzie hapo hapo!
Tokea huo mkutano ufanyike leo ni siku ya ngapi au mwezi wa ngapi?
Wangapi wamekufa?
¤tokea mheshimiwa atangaze hakuna corona tz huu ni mwezi wa ngapi?
#Tatizo limetuathiri kwa namna gani?

Kuna mambo mengine sio lazima mpaka utumie akili kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…