Mimi ni mzee wa miaka 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).
Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.
Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?
Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.
Hali ni mbaya.
Ni mimi mpiga sumari ..
Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.
Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?
Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.
Hali ni mbaya.
Ni mimi mpiga sumari ..