Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

Kwa hiyo uzee siku hizi unaanzia 40?!
Anyways, vijana wadogo wa 20years hadi 30 wananiita dogo! Kwasababu naonekana mdogo, wao wamezeeka[emoji1].

Watu wakiambiwa lifestyle inachangia afya yako ya akili na mwili pia, wanasema mbona babu zao walikunywa sana pombe hadi wanafikisha 80/90years. Tambueni kuwa pombe nyingi almost 60% ni pombe fake na serikali inajua.

Acheni kula kula hovyo, go back to Eden!
 
Back
Top Bottom