Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

Sio Tz tu hata Marekani. Jionee mwenyewe madogo tu washakuwa mateja



 
Mimi ni.mzee wa miala 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana.....vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55)

Kijana wa miaka 20 sura imepinda ...ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.

Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa...tunakwendaje kujenga nchi na mateja?

Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.

Hali ni mbaya.

Ni mimi mpiga sumari ..
Kwa hiyo wewe ni mzee kwa hiyo miaka uliyo taja ....mzee ni mwenye miaka 70 kuja juu.
 
Vijana lazima wachanganyikiwe coz Dola (the state)iliruhusu ujinga huu;-

1.msomi atumie miaka 17 Hadi kuhitim akipata kazi mshahara wake ni sawa na Posho ya kikao Cha masaa matatu ya mbunge Bungeni!

Msomi huyu anakosa ajira Wakati mbunge mmoja analipwa mill 13 Hadi 18 Kwa mwezi badala ya kupunguza wage bill ya kulipa mishahara wanasiasa na kuipeleka kwenye ajira kuchochea uchumi was nchi!!

2.siasa ndio iwe kazi yenye malipo makubwa sana kuliko usomi na utafiti plus uprofesa Hadi maprofesa wanahisi wapo jalalani huko vyuoni na kukimbilia siasa!!

Dola inalinda uhalifu na ubadhirifu was wanasiasa badala ya kulinda mstakabali na kesho plus hatma ya kizazi kijacho!!!

Lazima vijana wachanganyikiwe!!
 
Mimi ni mzee wa miala 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).

Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.

Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?

Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.

Hali ni mbaya.

Ni mimi mpiga sumari ..
hahaha endapo watu kama hapo ukiwapa ushauri anakuona mjinga ila dawa yake mweche ale sitalee akimaliza mfwate
 
Mwaka jana nilikwenda kumsalimia bi mkubwa wangu kitaani kwetu Tmk, sasa napiga misele nasikia vibinti vya shule age 15-17, vinamsema mwenzao ni mshamba kisa hampi boyfriend wake tigo, nilichoka mno, hao boyfriend wao wenyewe ndio wale madogo waliosokota nywele jioni wanaimbisha singeli kwenye vigodoro.
Aisee
 
Mimi ni mzee wa miala 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).

Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.

Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?

Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.

Hali ni mbaya.

Ni mimi mpiga sumari ..
Miaka 42 akiwa mzee je wa miaka 72 atakjiita nani?

Kama 42 akiwa mzee basi si ajabu mtu wa miaka 20 kujikatia tamaa maana anajiona
yupo half way ya kufika uzeeni na ramani ya maisha wala haieleweki.
 
Mimi ni mzee wa miala 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).

Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.

Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?

Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.

Hali ni mbaya.

Ni mimi mpiga sumari ..
Kuka ndio kinywaji gani ndugu? Una picha yake?
 
Hii ni laana juu ya nchi. Na ingekuwa nafuu kama wanaopaswa kuact ni Watawa na mapadre kwamba hawajazaa ilah bht mby nao wana watoto. Na hata kama wanaaaona wako safi hakuna ajuaye kesho ukizingatia kutojali na kutotimiza wajibu.
 
Hii ni vita kubwa sana.. Ni kubwa kuliko inavyoonekana.. Hii ni vita ya kiroho na kimwili.. Jinsia ya kiume ipo katika shambulio.. Serikali inamshambulia mwanaume.. Shetani anamshambulia mwanaume.. Hata mwanamke naye anamshambulia mwanaume.. Mtoto wa kiume ameachwa katika huruma ya ulimwengu ambao hauna huruma.. Tumponye vipi huyu kijana wa kiume.. Kazi hii ianzie katika familia.. Tunatakiwa kuwa na familia imara zitakazohakikisha malezi Bora ya vijana wetu.. Familia Bora zinahitaji baba bora.. Tujenge familia Bora kabla ya kuangalia jukumu la serikali kwa vijana wetu..
 
Hata lishe hawapati virutubisho bora hayo malezi yataingilia wapi? Kijana ili aweze kujithamini na kuthamini jamii yake ni lazima apate lishe. Mtu mwenye utapia mlo hawezi kuwa na upeo wala kujithamini.
Hii ni vita kubwa sana.. Ni kubwa kuliko inavyoonekana.. Hii ni vita ya kiroho na kimwili.. Jinsia ya kiume ipo katika shambulio.. Serikali inamshambulia mwanaume.. Shetani anamshambulia mwanaume.. Hata mwanamke naye anamshambulia mwanaume.. Mtoto wa kiume ameachwa katika huruma ya ulimwengu ambao hauna huruma.. Tumponye vipi huyu kijana wa kiume.. Kazi hii ianzie katika familia.. Tunatakiwa kuwa na familia imara zitakazohakikisha malezi Bora ya vijana wetu.. Familia Bora zinahitaji baba bora.. Tujenge familia Bora kabla ya kuangalia jukumu la serikali kwa vijana wetu..
 
Hata lishe hawapati virutubisho bora hayo malezi yataingilia wapi? Kijana ili aweze kujithamini na kuthamini jamii yake ni lazima apate lishe. Mtu mwenye utapia mlo hawezi kuwa na upeo wala kujithamini.
Suala la lishe linaanzia katika ngazi ya familia.. Tangu utoto mtu anatakiwa afundishwe umuhimu wa lishe Bora na aina za vyakula
 
Back
Top Bottom