Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

Mimi ni mzee wa miala 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).

Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.

Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?

Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.

Hali ni mbaya.

Ni mimi mpiga sumari ..
Ccm mbere kwa mbere
 
VIjana wa sasa wamekata tamaa ndio hao wanasema Mungu hayupo , hawaoni faida ya maisha 😀 😀 😛
 
Mzee wa 42? Wewe ni kijana hata hujafika 40 ndio maana 42 unaita mzee.
 
Mimi ni mzee wa miaka 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).

Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.

Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?

Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.

Hali ni mbaya.

Ni mimi mpiga sumari ..
Miaka 42 bado kijana mdogo kabisa. Uzee ni kuanzia miaka 60 nakuendelea.
 
Mtaani kwetu yaani tunatumia mjumbe mmoja, mwaka huu tu tumewapoteza vijana watatu na wote walikuwa na uhusiano mzuri na pombe kali za bei rahisi.
 
Wazazi baadhi hawapendi kuwawajibisha watoto wao wakiwa wadogo,yaani mzazi anaishi na mtoto yake utafikiri ataishi nae milele,kumbe miaka michache baadae Kila mtu atakuwa anapambana mwenyewe,Sasa huwo wakati ndio kijana anajikuta hawezi kujisimamia mwenyewe.
 
Hali ngumu ya maisha ndio chanzo Cha hayo yote kutokea.
Vijana wamesoma ila hata internships Hakuna.
Hawana mtaji wa kuanzishia hata kabiashara kadogo unadhani Nini kinatokea?

Ulevi wa kupindukia,ngono zembe,mimba za mapema pamoja na magonjwa ya zinaa.

Hakika kizazi Cha Sasa kinapitia changamoto nyingi Sana.
 
Mimi ni mzee wa miaka 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).

Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.

Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?

Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.

Hali ni mbaya.

Ni mimi mpiga sumari ..
Mimi nina miaka 45 ni kijana ww una miaka 42 unajiita mzee!!??

Mbona una kiherehere na uzee!
 
Mwaka jana nilikwenda kumsalimia bi mkubwa wangu kitaani kwetu Tmk, sasa napiga misele nasikia vibinti vya shule age 15-17, vinamsema mwenzao ni mshamba kisa hampi boyfriend wake tigo, nilichoka mno, hao boyfriend wao wenyewe ndio wale madogo waliosokota nywele jioni wanaimbisha singeli kwenye vigodoro.
Du tmk
 
Back
Top Bottom