Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ccm mbere kwa mbereMimi ni mzee wa miala 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).
Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.
Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?
Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.
Hali ni mbaya.
Ni mimi mpiga sumari ..
Naunga mkono hoja yakoSystem ndiyo inataka vijana waishi kama zombie.
Halafu ni wajuaji sijapata kuonaKizazi jeuri
Kabisa mkuu.Naunga mkono hoja yako
Vijana wawe wanalewa,muda wote wawe wanafikiria na kufatilia
Maujingajinga,kutwa wawe wanakata mauno tu system ndiyo inataka hivi.....
Ova
Miaka 42 bado kijana mdogo kabisa. Uzee ni kuanzia miaka 60 nakuendelea.Mimi ni mzee wa miaka 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).
Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.
Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?
Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.
Hali ni mbaya.
Ni mimi mpiga sumari ..
Wajalaana mama abdul na abdulNa hawa ndio wapiga kura wa Mama Abduli.
Eti ngalangalaš¤£š¤£š¤£Mzee unavijua visungura?
Wiki ilopita hapo nimekutana na kijana wangu kachoka, kakongoroka, mkangafu ngalangala.
Niliumia sana kwa kweli.
Sahih kabisaWajalaana mama abdul na abdul
Mimi nina miaka 45 ni kijana ww una miaka 42 unajiita mzee!!??Mimi ni mzee wa miaka 42 ila huwa kujichanganya, hapa nipo kijiwe hapa Dsm, aisee hatima ya vijana. Vijana wamechoka mbaya bora sisi wazee wa kati ( 40 - 55).
Kijana wa miaka 20 sura imepinda ni nini hiki? Taifa hili tusipokiwa makini nguvu kazi hii inakwenda kupotea.
Wadau wenzangu na nyie fanyeni utafiti huko mliko lakini kama hali ndo hii hatuna Taifa, tunakwendaje kujenga nchi na mateja?
Yaani hapa ni kuka, konyangi za kolabo vijana wa kike wa kuume, yaani kuna umoja wa ajabu, afu cha ajabu na mie washaniona teja mwenzao...napewa kuka ila aisee kuka ni kifo cha figo zako.
Hali ni mbaya.
Ni mimi mpiga sumari ..
Du tmkMwaka jana nilikwenda kumsalimia bi mkubwa wangu kitaani kwetu Tmk, sasa napiga misele nasikia vibinti vya shule age 15-17, vinamsema mwenzao ni mshamba kisa hampi boyfriend wake tigo, nilichoka mno, hao boyfriend wao wenyewe ndio wale madogo waliosokota nywele jioni wanaimbisha singeli kwenye vigodoro.