yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
Nguvu moja😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguvu moja😁😁😁
Amewahi kutabiri mechi gani na matokeo yakaja kama alivyo tabiriMtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
AahaasssMmeanza kutegemea wapiga ramli
TP Mazembe usiwachukulie poa ayseee... wako vizuri sana labda mpira tu udunde.Haraka haraka naona kma kaongea kinyume chake.
Ila nijuavyo mimi.
Asec na petro watavuka, hawa wengine tuzidishe dua, yanga ana nafasi kubwa kuliko mnyama, natamani mnyama apindue meza lakini sina imani na chama langu, lqbda mwalimu abadili fikra apange kikosi imara sio saidoo namba 9,ikiwezekana akae benchi kabisa.
Weka link ya chanzo chako cha habari. Maana kinyume na hado ni kujiyekenya wenyewe na kisha kucheka wenyeweMtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Sijawadharau, nawaheshimu mnoo, shida tu nimewapa heshima kubwa petro atletico kuliko wao, tusubiri muda utatwambia.TP Mazembe usiwachukulie poa ayseee... wako vizuri sana labda mpira tu udunde.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Now you talkMtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Kikosi imara cha kina nani?Haraka haraka naona kma kaongea kinyume chake.
Ila nijuavyo mimi.
Asec na petro watavuka, hawa wengine tuzidishe dua, yanga ana nafasi kubwa kuliko mnyama, natamani mnyama apindue meza lakini sina imani na chama langu, lqbda mwalimu abadili fikra apange kikosi imara sio saidoo namba 9,ikiwezekana akae benchi kabisa.
likizo ya miezi 6 mana itakua jangaHiyo ikitokea nchi haitakalika. Nitachukua likizo kwenda Dubai kupumzisha akili
Al nassr na arsenalKikosi imara cha kina nani?
MLETA MADA KUWEKA HABARI YAKO IWE VALID UNGEWEKA SORCE YA HABARI YAKO.
OTHERWISE LONG LIFE JAMII FORUM.
Kwa hio sasa hivi nguvu za kwenda nusu fainali zipo mikononi mwa watabiri!