Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,517
- 5,533
shakuwa yeye bali wasiwasi wa kuweweseka na vita ya webnyewe kwa wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametabiri kinyume nyume.Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Hatutaki utabiri wa nguvu za Giza! Ukweli ni kwamba Simba itasonga mbeleMtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Watabiri mshindwe Kwa Jina la Yesu! Simba itashinda si Kwa sababu ya watabiri Bali Kwa sababu tunamwomba Mungu ishinde! Utukufu uende Kwa Mungu na si Kwa watabiri!! Ee Mungu nakuomba mara hii Simba iende nusu fainali Kwa kuifunga al ahly, naomba Kwa Jina la Yesu ma watu wote semeni amen!! Kumbukeni kumpa Mungu utukufu baada ya ushindi na si vinginevyo!Siamini sana katika Tabiri.
Naamini sana kwenye Muda.
Muda ni msema kweli Daima na anahukumu kwa Haki yote bila upendeleo.
Wakati utafika tutajua mbivu na Mbichi.
Kwa status Ya kikosi , Uwekezaji, na Uongozi uliopo simba ni ngumu sana kutoboa , kikosi ni dhaifu Mno.
MLETA MADA KUWEKA HABARI YAKO IWE VALID UNGEWEKA SORCE YA HABARI YAKO.
OTHERWISE LONG LIFE JAMII FORUM.
Timu 3 zote zishinde ugeniniMtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Watabiri hawapangi matokeoHatutaki utabiri wa nguvu za Giza! Ukweli ni kwamba Simba itasonga mbele
Watabiri mshindwe Kwa Jina la Yesu! Simba itashinda si Kwa sababu ya watabiri Bali Kwa sababu tunamwomba Mungu ishinde! Utukufu uende Kwa Mungu na si Kwa watabiri!! Ee Mungu nakuomba mara hii Simba iende nusu fainali Kwa kuifunga al ahly, naomba Kwa Jina la Yesu ma watu wote semeni amen!! Kumbukeni kumpa Mungu utukufu baada ya ushindi na si vinginevyo!