Mtabiri nchini Libya aitabiria Simba kuingia nusu fainali

shakuwa yeye bali wasiwasi wa kuweweseka na vita ya webnyewe kwa wenyewe.
 
Ametabiri kinyume nyume.
 
Hatutaki utabiri wa nguvu za Giza! Ukweli ni kwamba Simba itasonga mbele
Watabiri mshindwe Kwa Jina la Yesu! Simba itashinda si Kwa sababu ya watabiri Bali Kwa sababu tunamwomba Mungu ishinde! Utukufu uende Kwa Mungu na si Kwa watabiri!! Ee Mungu nakuomba mara hii Simba iende nusu fainali Kwa kuifunga al ahly, naomba Kwa Jina la Yesu ma watu wote semeni amen!! Kumbukeni kumpa Mungu utukufu baada ya ushindi na si vinginevyo!
 
Timu 3 zote zishinde ugenini
 
Watabiri hawapangi matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…