Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Umesahau sifa moja ya FaizaFoxy kuwa anamiliki bahasha yenye nyaraka za taraka, kwani aliolewa na kuachika mara sita kipindi hajawa kikongwe.
Hahahah mkuu!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani, faiza amewakosea nini bibi yetu?
Faiza nakupend and i stand with you.
[emoji23][emoji23] yaan wanakuandama mpaka basi. Hata akisuka makonga tuu kuna shida gani jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

I stand with faiza foxy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom