Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Nitabirieni mimi,
Atakae patia anakunywa Heineken 3

Sent using Jamii Forums mobile app
@General Mangi kijana mmoja mtukutu japo hajionyeshi yaani huwezi kujua kama ni mtukutu hadi ukae nae kwa muda.
Ni mhudhuriaji mzuri wa ibada ila mahubiri huwa anayaacha hapohapo anarudi mwenyewe
Ni mrefu kiasi, mwembamba japo si sana, rangi maji ya kunde ila angekuwa anajipenda sana angeng'aa zaidi sema ndio hivyo akiingia bafuni kuoga ndo kamaliza.
Anakunywa japo sio chapombe kama naniliu.
Ukiwa nae kwenye mahusiano inabidi uwe mvumilivu maana hajui kuficha ujeuri wake. Anawapenda sana ndugu zake, si muongeaji sana ila ni mtu wa utani wa hapa na pale.
Last but not least, ni mchakarikaji (of course this is given kwa sababu mtu mwenyewe ni Mangi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@General Mangi kijana mmoja mtukutu japo hajionyeshi yaani huwezi kujua kama ni mtukutu hadi ukae nae kwa muda.
Ni mhudhuriaji mzuri wa ibada ila mahubiri huwa anayaacha hapohapo anarudi mwenyewe
Ni mrefu kiasi, mwembamba japo si sana, rangi maji ya kunde ila angekuwa anajipenda sana angeng'aa zaidi sema ndio hivyo akiingia bafuni kuoga ndo kamaliza.
Anakunywa japo sio chapombe kama naniliu.
Ukiwa nae kwenye mahusiano inabidi uwe mvumilivu maana hajui kuficha ujeuri wake. Anawapenda sana ndugu zake, si muongeaji sana ila ni mtu wa utani wa hapa na pale.
Last but not least, ni mchakarikaji (of course this is given kwa sababu mtu mwenyewe ni Mangi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Japo simfahamu mangi, nahisi umepatia utabiri wako juu yake
 
Back
Top Bottom