Mtafutaji nisiyechoka naomba mnishike mkono nipate ajira

Mtafutaji nisiyechoka naomba mnishike mkono nipate ajira

Ni changamoto sana kwa kweli.
Una driving license and/or cheti cha JKT?
Yes... Mitazamo ya watu ni mingi lakini finally , you can never dance this song unless you feel the beat. Ngumu sana mtu kuielewa hali ya huyu mdau pasina kuwa uzoefu wa hali hio.

Nina rafiki yangu pia Ana Bachelor na yeye bado hajaingia ktk mfumo wa ajira, ana driving licence na cheti cha JKT pia. Mkuu naomba umuangalie pia kama itakupendeza.
 
Alafu wewe unajua kazi za vibarua ni kama ku beba tofari, saidia fundi, na makazi magumu magumu huko viwandani

Hivi kwanini inakua ngumu kuelewa vitu kiasi hiki?

Mtu mpaka kasema alipata shida ya mgongo na kwenye uzi wake kaandika kabisa, "kazi za viwandani ni ngumu ndugu zangu", unadhani alikua anabeba mikate ama?
 
Yes... Mitazamo ya watu ni mingi lakini finally , you can never dance this song unless you feel the beat. Ngumu sana mtu kuielewa hali ya huyu mdau pasina kuwa uzoefu wa hali hio.

Nina rafiki yangu pia Ana Bachelor na yeye bado hajaingia ktk mfumo wa ajira, ana driving licence na cheti cha JKT pia. Mkuu naomba umuangalie pia kama itakupendeza.

Well said mkuu. Niko kwenye the very same venture ya kutafua kazi. Kuhusu rafiki yako mwenye hizo credentials, mtaarifu kuwa kuna nafasi za kazi Kiwango security na mshahara ni 450k per month kwa supervisor na 300k kwa guard ambapo zote ana qualify kufanya.
 
Well said mkuu. Niko kwenye the very same venture ya kutafua kazi. Kuhusu rafiki yako mwenye hizo credentials, mtaarifu kuwa kuna nafasi za kazi Kiwango security na mshahara ni 450k per month kwa supervisor na 300k kwa guard ambapo zote ana qualify kufanya.
Fursa nzuri kabisa kwa kuanzia. Shukrani sana mkuu. Ntamshirikisha hili.
 
Nimejifunza kwamba miongoni mwa skills nzuri sana kuwa nayo maishani ni composure. Ni kawaida sana kwa mtu alienacho kuwaona wasionacho kwamba kuna sehemu wanakosea, ni kawaida yetu binadamu.

Nimesoma comments zote za huyo jamaa sio tu kwenye uzi huu, hata kwenye uzi wangu wa kuomba kazi. Nilichogundua kutoka kwake ni kuwa yeye ni aina ya watu wanaofikisha ukweli mchungu ambao wengi wetu hatupendi ama hatuko tayari kuusikia hasa ukizingatia mtu kama mtoa mada aliekaa darasani kwa takribani miaka 19 kuitafua hio master's aliyonayo.

Shida ipo sehemu moja tu, angesoma vizuri story ya mtoa mada angeona ni kwa jinsi gani amepambana na bado anaendelea kupambana bila kukata tamaa.

Angesoma vizuri angetambua kwamba sio rahisi kubadilisha imani ya mtu alietumia miaka yote hiyo na gharama kubwa katika kutafuta kitu na mambo yakaenda tofauti na alivyodhania na kumtaka atumie mbinu mbadala kwa dhihaka.

Angesoma vizuri angetambua kwamba mtoa mada kashasema alipata shida ya mgongo kwa kufanya vibarua hivi hivi ambavyo yeye anashauri kwa dhihaka mtoa mada avirejee.

Kuna wakati mwingine mtu unatakiwa kujifunza tu ku'skip kitu ambacho unaona kitakufanya utoe kauli za kuumiza binadamu wengine.

Brother mtoa mada ana master's degree ya PA, if all goes well, siku akabahatika kukamata ofisi ya serikali, kipi kimfanye awe mnyenyekevu kwa watu ambao walikua wakimdhihaki wakati hana hio nafasi?

Anyway, ngoja tu tuukubali ukweli mchungu kutoka kwa wanaodiriki kutubeza kwamba elimu haijatusaidia kitu na hatujishughulishi kwakua hatuna maarifa mbadala ya kuishi. Tutazivumilia dharau na masimango yote huku tukitumainia kesho yetu.

And if a day ever comes and the tables turn, I hope we will be humble enough not to take vengeance. Ninachojua ni kwamba inaweza isilete matokeo ya haraka, ila elimu haijawahi kukosa faida. Wacha muda uamue.
Bro umeongea point.


Kwenye jamii zetu hz haswa mtu akitoboa kimaisha Ht km sio kiviile wengi wao huwa wanasahau maumivu, tabu na mafadhaiko waliyopitia kipindi walipokua hawana kitu na ht km hawakupitia changamoto zozote maybe walipomaliza masomo tu kapata nafasi ya kuajiriwa au maybe alibahatika kuwa katka família yenye kumfanikishia kupata ajira moja kwa moja bila tabu yyte

japokuwa hat km ni hvyo it still doesnt give him or her a good fuckin reason ya kukejeli wengin walio bdo kwenye msoto wa kimaisha ...

Yani wanabadilika na kuwa walimbukeni na kua na kauli za kufedhesha sn
 
Bro umeongea point.


Kwenye jamii zetu hz haswa mtu akitoboa kimaisha Ht km sio kiviile wengi wao huwa wanasahau maumivu, tabu na mafadhaiko waliyopitia kipindi walipokua hawana kitu na ht km hawakupitia changamoto zozote maybe walipomaliza masomo tu kapata nafasi ya kuajiriwa au maybe alibahatika kuwa katka família yenye kumfanikishia kupata ajira moja kwa moja bila tabu yyte

japokuwa hat km ni hvyo it still doesnt give him or her a good fuckin reason ya kukejeli wengin walio bdo kwenye msoto wa kimaisha ...

Yani wanabadilika na kuwa walimbukeni na kua na kauli za kufedhesha sn

Unfortunately ndo dunia tuliyopo mkuu, mwenye nacho anamuona asienacho ni mvivu.
 
Mwenye connection ya kazi za weighbridge, TANROADS Mkoa wowote. Naomba unicheki Pm tafadhari, Ahsante ya connection ipo.
 
Huna mapungufu lakini usitake sana huruma za watu ndio maana nikakuambia tafuta mtaji hata kwa kazi za kibarua uwekeze kwenye kitu unachoweza fanya utatoboa sasa ww unaona kama nimekuambia vibaya wakati uhalisia ndio huo.
Acha dharau kama umepata usione wengine wazembe.
 
Aisee unaweza nisaidia anuan yao au hata ukapiga picha hlo tangazo? Nataka ni apply asee!!

Hakuna tangazo mkuu, ingia website yao ama nenda physically head office yao Mbezi beach.
 
Back
Top Bottom