Mtaje member mmoja unayetamani kujua maisha yake kiundani


Naomba nikufahamishe kuwa tabia ya kutaka kujua misha ya watu mara nyingi huwa ni udaku, na hivyo mimi huwa sishauri sana mtu awe na tabia za namna hiyo kwa sababu mimi mwenyewe huwa sizipendi sana. Hata hivyo naomba nikiri kuwa mimi binafsi ningependelea tu kufahamiana na @Lara1 . Halafu siku hizi amepotea humu jukwaani sijui kwa nini. Possibly hayo ma insta na ma-facebook yenu ndiyo yamemhamisha, amejikita huko zaidi!
 
Kwa sasa sitaki kumfahamu wala kumjua mtu, bado sijajifahamu vizuri nianze kutaka ya wengine!!!
 
Haha ujanja mwingine huu. Haya NdegeJohn go on

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni umbea wa kiwango cha lami.
Kuna mtu jioni hajui atakula nn Leo hii ajue undani wa MTU asiemjua ili iweje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli JF imeingiliwa. Mambo binafsi ya MTU yanakusaidia nini? Mind your own businesses
 
75% ya mada za jf siku hizi ni za kibabaishaji tu. Zamani tunaletewa topic za kujifunza, leo nyingi ndo kama hizi za watu kutaka kujua maisha ya wengine!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eh.. Anayetaka kukujua humu jf jua;
1. Katumwa kuwajua watu flani flani ili kitu flani kifanyike
2. Kujiridhisha how people intermingle despite the privacy of the members wa jf
3. Anawinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] naomba bundle nimalizie Queen seondeok
ushauri wangu uliupuuzia kama snow zinazodondoka seoul na kufagiwa asubuhi yake.
ngoja nimpigie simu professor lipumba akufanyie mpango japo 5000
 
ushauri wangu uliupuuzia kama snow zinazodondoka seoul na kufagiwa asubuhi yake.
ngoja nimpigie simu professor lipumba akufanyie mpango japo 5000
[emoji23][emoji23][emoji23] profesa kachoka yule hana hiyo jeuri. Halafu mbona hukuniambia mchumba wangu yupo kule ukawa unanionyesha wachumba wengine kidogo nifumaniwe
 
[emoji23][emoji23][emoji23] profesa kachoka yule hana hiyo jeuri. Halafu mbona hukuniambia mchumba wangu yupo kule ukawa unanionyesha wachumba wengine kidogo nifumaniwe
mchumba yupi hebu nikumbushe japo kwa code,
halafu unataka kuchafua uzi wa watu, na tunavyochukiwa wapenzi wa gangnam beauty humu JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…