Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Hivi ni biashara gani ni takatifu?Hiyo ni biashara ya shetani. Achana nayo ama kamwe hautabarikiwa na ufalme wa milele hautauona. Utakua pamoja na shetani katika moto wa Jahannam. U will burn in Hell!!!! U will burn in hell!!!!!!
Mbna hunijibu?Hiyo ni biashara ya shetani. Achana nayo ama kamwe hautabarikiwa na ufalme wa milele hautauona. Utakua pamoja na shetani katika moto wa Jahannam. U will burn in Hell!!!! U will burn in hell!!!!!!
Unaweza kuuza mkahawa wa kawaida bila kilevi. Unaweza kuuza chips kuku nyama choma. Unaweza kufungua duka ukauza vitu vya aina mbali mbali. Unaweza kuuza mihogo ndizi matikiti maboga . Kwa ufupi fursa zipo nyingi za halali ambazo hazimchukizi Mungu wala hazileti ugomvi katika familia. Ulevi si tu unapingwa na dini bali pia hata wataalamu wa Afya.Mbna hunijibu?
Sio lazima kunywa pombe, hata soda. Hivi mtu anaenda baa na kubywa bia mbili utamwita mlevi?Unaweza kuuza mkahawa wa kawaida bila kilevi. Unaweza kuuza chips kuku nyama choma. Unaweza kufungua duka ukauza vitu vya aina mbali mbali. Unaweza kuuza mihogo ndizi matikiti maboga . Kwa ufupi fursa zipo nyingi za halali ambazo hazimchukizi Mungu wala hazileti ugomvi katika familia. Ulevi si tu unapingwa na dini bali pia hata wataalamu wa Afya.
Poapoa mkuuZote zinalipa na inategemea,umejiandaa kuzifanya kwa ukubwa upi! Hapa namaanisha mtaji na location.
Sent using Jamii Forums mobile app
PoaFungua Bar watu tuje kulabuka na kuchukua machangu ila mbinguni huendi
OkUkipatia location ,mtaji na ubunifu trust me mgahawa unalipa
Tatizo la bar bia zinafaida ndogo ila ukiwa na bar utakuwa maarufu
Biashara ya ngono mkuu itakulipa uko sexyNataka nifungue biashara moja kati ya hizo, ipi inafaa zaidi itakayonilipa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Seconded mkuu, walaji hawana tabia za kuhama kijinga kama walevi, cha msingi azingatie viwango kulingana na location na aina ya wateja anaowatakaUkipatia location ,mtaji na ubunifu trust me mgahawa unalipa
Tatizo la bar bia zinafaida ndogo ila ukiwa na bar utakuwa maarufu
NmekupataKwa mawazo yangu mimi fungua bar thn kama mtaji unaruhusu basi hapo hapo jikoni unaongeza na vyakula vya mgahawani namaanisha kama asubuh kunakuwa na mtoli supu nk thn mchana biriani pilau chips nk naamini itakuingizia hela
Sent using Jamii Forums mobile app