Ikishindikana nauza kila kitu, nafanya complete shutdown.Ukimpata wa ku-share nae hiyo headache basi kila la heri boss
Hahahaha unanikumbusha mbali sana hizo drama aiseeHalafu walevi wanakuhamaπ€£π€£π€£ baada ya muda wakishapiga piga wahudumu. Janga la kuibiwa wahudumu pia limekuwa changamoto kubwa...ukileta wapya wenzio wanakuja kukuibia wanawahamishia kwao.
Mi mwenyewe nakushauri ufanye mambo zingine tu ingekuwa mdudu anasimama peke yake bila pombe aaah mbona fresh tu maana jikoni mara nyingi anakaa wa kiume(wanaume hamsumbui sana kama sie ke),,, na jiko lina faida nzuri kuliko pombe kwenye ambayo faida yake ni kidogo au hamna na bado changamoto ni nyingiIkishindikana nauza kila kitu, nafanya complete shutdown.
Wengi ni makahaba ..Shida ya hii biashara ni barmaids, kiukweli wengi wao ni pasua vichwa
Inategemea..
Hao watu ni wasumbufu sana awe amezoeleka ama laWengi ni makahaba ..
Akishakuwa kazoeleka na soko kushuka lazima
Ahame aende bar ingine..
Hawajali huduma wako macho juu kutafuta vibuzi
Wewe mwanamke hutaweza kuwamudu mabar maid..Hao watu ni wasumbufu sana awe amezoeleka ama la
Mdudu alikuwa mzuka mwanzo ila mpishi akazingua pakawa pana shida ya mpishi natafta mademu hawamalizi mwezi wanakacha mara at kaz ngumu na bla blah.Mi mwenyewe nakushauri ufanye mambo zingine tu ingekuwa mdudu anasimama peke yake bila pombe aaah mbona fresh tu maana jikoni mara nyingi anakaa wa kiume(wanaume hamsumbui sana kama sie ke),,, na jiko lina faida nzuri kuliko pombe kwenye ambayo faida yake ni kidogo au hamna na bado changamoto ni nyingi
Walah kuna sehemu ukienda unakuta muhudumu mchangamfu halafu ana lugha nzuri hadi unafurahia. Kuna sehemu tulikwenda kula kwa mara ya kwanza nilimpa yule dada tip. Alituhudumia vizuri hadi raha. Sehemu kama hiyo lazima siku nyingine uende.Shida ya hii biashara ni barmaids, kiukweli wengi wao ni pasua vichwa
Mi mbona sijawala mkuu π€£π€£π€£ au ndio hapo nilipofeli nini?Wewe mwanamke hutaweza kuwamudu mabar maid..
Hao wanahitaji dume bazazi linalowapitia wakati wa kuwaajiri ..likali linalofoka .ndo wanaenda
Usiwamege hao mabintiDah, mdudu ndio priority hapa kwangu ila biz imeenda down sana. Madem wengi kuwaweka nayo ni cost kuwatafuta na kuwafanyia training kila wakati. Ndio maana nataka mtu ambaye ni mzoefu ikibidi tugawane faida tu.
Hahahaha na fujo zangu zote huwezi amini mpaka kesho hunipigia simu dada "nimekumiss" sijapata boss kama wewe,,, najisemea kwendeni zenu huko wizi mtupuWewe mwanamke hutaweza kuwamudu mabar maid..
Hao wanahitaji dume bazazi linalowapitia wakati wa kuwaajiri ..likali linalofoka .ndo wanaenda
Tafuta dogo anaewala na kuwa controlmi mbona sijawala mkuu π€£π€£π€£ au ndio hapo nilipofeli nini?
Hahahaha na fujo zangu zote huwezi amini mpaka kesho hunipigia simu dada "nimekumiss" sijapata boss kama wewe,,, najisemea kwendeni zenu huko wizi mtupu
Wahudumu wa hivyo ni wa kutafutwa kwa tochi na wateja wa kike sio km wanaume,, kiasi ukimpa lugha nzuri na kesho atarudi ilaWalah kuna sehemu ukienda unakuta muhudumu mchangamfu halafu ana lugha nzuri hadi unafurahia. Kuna sehemu tulikwenda kula kwa mara ya kwanza nilimpa yule dada tip. Alituhudumia vizuri hadi raha. Sehemu kama hiyo lazima siku nyingine uende.
Changamoto km nilizopata yani ila badae wa jikoni nikampata konki shida ikawa hao magumegume tuMdudu alikuwa mzuka mwanzo ila mpishi akazingua pakawa pana shida ya mpishi natafta mademu hawamalizi mwezi wanakacha mara at kaz ngumu na bla blah.
Hahahah mhudumu anafanya kazi anawaza anaondokaje na jamaa. Huku wateja wengine wanamzonga nishakuwa na mfanyakazi anamwambia mteja kunawa kule...huku kashika simuWahudumu wa hivyo ni wa kutafutwa kwa tochi na wateja wa kike sio km wanaume,, kiasi ukimpa lugha nzuri na kesho atarudi ila
tofauti sasa hii biashara wateja wake wengi ni jinsia me