Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

Bonge Mpya

Member
Joined
Jul 6, 2021
Posts
39
Reaction score
136
Habari yako

Mimi ni kijana ambae nilitumia mtaji wa Tsh 25,000 na sasa naingiza laki 4 Hadi laki 7 kila Mwezi.

Mwaka Jana 2021 mwezi wa 3 nilitumia mtaji huo kununua domain name kisha nikaanzisha Blog.
Baada ya kufungua blog yangu nika-apply AdSense kama bloggers wengine wanavyofanya. Haikuchukua muda AdSense wakakubali na hapo ndipo pesa ikaanza kuingia.

Sina ujuzi wowote wa IT hivyo kuwa na blog sio lazma usomee IT. Unaweza kujifunza kidogo kidogo
BLOG sio hobby ila ni KAZI kama KAZI nyingine
Screenshot_20220517-114931.png

MAMBO MUHIMU YA KUWA NAYO kwa Hapa Bongo
1. Elfu 25,000/ ambayo unalipia Domain (link ya blog) kwa mwaka
2. Kitambulisho Cha mpiga kura
3. Sanduku la posta (P O.BOX) linalofanya KAZI
4. Kadi ya bank (VISA au Mastercard) yenye uwezo wa kupokea pesa mtandaoni. (Binafsi natumia CRDB)
5. Ujuzi wa lugha ya Kingereza Kuhusu mambo mengine kama jinsi ya kupata views, kupost, utajifunza kidogo kidogo.
 
Amini...Sitozi hata senti moja, nimetoa namba Whatsapp kwa ajili kurahisisha maelekezo. Pia kama watatokea wengi iwe rahisi kuunda group. Ni BURE 100%
Kwanini tukiona fursa inayolipa huwa hatupigi pesa hadi tutosheke ndipo tuanze kushirikisha wengine?

Kwanini unatumia nguvu kutangaza? nimeona uzi huu umepost majukwa tofauti tofauti
 
Kwanini tukiona fursa inayolipa huwa hatupigi pesa hadi tutosheke ndipo tuanze kushirikisha wengine?

Kwanini unatumia nguvu kutangaza? nimeona uzi huu umepost majukwa tofauti tofauti
Umetoa hoja nzuri...Binafsi nmetumia nguvu nyingi kupromote hili suala kwasababu Nina uhakika nalo.
Pili siwezi kusema nimeridhika kwasababu pesa napata Bado ni ndogo kulinganisha na bloggers wengine ambao wanaingiza mamilioni ya pesa.
Pia siku zilizopita sikuweza ku-share suala hili kwasababu sikuwa na uhakika nalo nilikuwa nasoma tu kwenye article za watu.
Hivyo Ondoa shaka
 
Habari yako
Mimi ni kijana ambae nilitumia mtaji wa Tsh 25,000 na sasa naingiza laki 4 Hadi laki 7 kila Mwezi.
Mwaka Jana 2021 mwezi wa 3 nilitumia mtaji huo kununua domain name (hii) kisha nikaanzisha Blog ambayo ni hii hapa.
Baada ya kufungua blog yangu nika-apply AdSense kama bloggers wengine wanavyofanya. Haikuchukua muda AdSense wakakubali na hapo ndipo pesa ikaanza kuingia.







View attachment 2227888

MAMBO MUHIMU YA KUWA NAYO
1. Elfu 25,000/ ambayo unalipia Domain (link ya blog) kwa mwaka
2. Kitambulisho Cha mpiga kura
3. Sanduku la posta (P O.BOX) linalofanya KAZI
4. Kadi ya bank (VISA au Mastercard) yenye uwezo wa kupokea pesa mtandaoni. (Binafsi natumia CRDB)
5. Ujuzi wa lugha ya Kingereza Kuhusu mambo mengine kama jinsi ya kupata views, kupost, tutaelekezana kidogo kidogo.
KAMA hivyo vitu unavyo na unahitaji kuwa na blog nipo tayari kukusaidia BURE.

WhatsApp: +255718453258

Hapo kwenye kufikisha vigezo vya kuapply AdSense na kuanza kulipwa ndipo shughuli inapoanzia
 
Umetoa hoja nzuri...Binafsi nmetumia nguvu nyingi kupromote hili suala kwasababu Nina uhakika nalo.
Pili siwezi kusema nimeridhika kwasababu pesa napata Bado ni ndogo kulinganisha na bloggers wengine ambao wanaingiza mamilioni ya pesa.
Pia siku zilizopita sikuweza ku-share suala hili kwasababu sikuwa na uhakika nalo nilikuwa nasoma tu kwenye article za watu.
Hivyo Ondoa shaka
Kwanini usitumie elfu 25 zingine kununua ma-domains mengine kibao uendelee kupiga mpunga na kujinufaisha? Umeridhika na hivyo vilaki kadhaa?
 
Ahahah mkuu fursa hazitutafuti bali tunazitafuta.

Ukiona fursa inakutafuta basi jua wewe ndio fursa.
Huo ni woga...Ukitangaziwa fursa ya bure unaogopa kwasababu unaamini hakuna Cha Bure. Na Ukitangaziwa fursa ya kulipia unaogopa unadhani ni utapeli.
Anyway...Sio lazma kila mtu aingize kipato kupitia blog...Fanya kile unachoamini
 
Kwanini usitumie elfu 25 zingine kununua ma-domains mengine kibao uendelee kupiga mpunga na kujinufaisha? Umeridhika na hivyo vilaki kadhaa?
Kununua domains nyingi tafsiri yake ni kuwa niwe na blog nyingi. Kwasababu blog moja inatumia domain moja. Kwasasa Sina uwezo wa kumiliki blog nyingi, sitaweza kuziendesha.
Mimi nime-share fursa hii kwenu kama huamini au unaona nataka kukutapeli Achana NAYO ila jua tu BLOG INALIPA
 
Back
Top Bottom