Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK. Basi kwa mfano ukamfungulia mdogo wako, kaka yako au mama?Kununua domains nyingi tafsiri yake ni kuwa niwe na blog nyingi. Kwasababu blog moja inatumia domain moja. Kwasasa Sina uwezo wa kumiliki blog nyingi, sitaweza kuziendesha.
Mimi nime-share fursa hii kwenu kama huamini au unaona nataka kukutapeli Achana NAYO ila jua tu BLOG INALIPA
Mmmh hapa sasa unakosea sio lazima kila mtu ajue blogging na kutokujua hakuwezi kumfanya mtu kuwa zwazwa...Huenda wewe ndo ukawa Zwazwa. Kama unafanya Blogging huwezi kukosoa Uzi huu ila kama hujui kuhusu Blogging wewe ni Zwazwa Mkuu
Babu kwenye hii sekta ya kufariji hatujawahi kukwama, hapo asipate shaka, aiingie zake tu mzima mzimaKuna watu wataanzisha thread za malalamiko muda si mrefu. Tujiandae kuwa wafariji
Utakosaje uwezo wa kumiliki Blog nyingi na wakati Blog moja tu unayo jiunga kwa elfu 25, inakuingizia laki 4 kwa mwezi?Kununua domains nyingi tafsiri yake ni kuwa niwe na blog nyingi. Kwasababu blog moja inatumia domain moja. Kwasasa Sina uwezo wa kumiliki blog nyingi, sitaweza kuziendesha.
Mimi nime-share fursa hii kwenu kama huamini au unaona nataka kukutapeli Achana NAYO ila jua tu BLOG INALIPA
Ndugu Usione ajabu kwann hzi mada hazipo Jamii forum ila kwenye magroup ya telegram kuna members kibao na whatsapp Group ipo ya Bloggers Tz.Habari yako
Mimi ni kijana ambae nilitumia mtaji wa Tsh 25,000 na sasa naingiza laki 4 Hadi laki 7 kila Mwezi.
Mwaka Jana 2021 mwezi wa 3 nilitumia mtaji huo kununua domain name (hii) kisha nikaanzisha Blog ambayo ni hii hapa.
Baada ya kufungua blog yangu nika-apply AdSense kama bloggers wengine wanavyofanya. Haikuchukua muda AdSense wakakubali na hapo ndipo pesa ikaanza kuingia.
View attachment 2227888
MAMBO MUHIMU YA KUWA NAYO
1. Elfu 25,000/ ambayo unalipia Domain (link ya blog) kwa mwaka
2. Kitambulisho Cha mpiga kura
3. Sanduku la posta (P O.BOX) linalofanya KAZI
4. Kadi ya bank (VISA au Mastercard) yenye uwezo wa kupokea pesa mtandaoni. (Binafsi natumia CRDB)
5. Ujuzi wa lugha ya Kingereza Kuhusu mambo mengine kama jinsi ya kupata views, kupost, tutaelekezana kidogo kidogo.
KAMA hivyo vitu unavyo na unahitaji kuwa na blog nipo tayari kukusaidia BURE.
WhatsApp: +255718453258
Njoo pm sio janja mkuuHaya ndio mambo ya ujanja ujanja hatuyataki
wasitani kwa Mwezi unapata viewers kwenye blog yako?Kununua domains nyingi tafsiri yake ni kuwa niwe na blog nyingi. Kwasababu blog moja inatumia domain moja. Kwasasa Sina uwezo wa kumiliki blog nyingi, sitaweza kuziendesha.
Mimi nime-share fursa hii kwenu kama huamini au unaona nataka kukutapeli Achana NAYO ila jua tu BLOG INALIPA
Nimeanza mambo ya online niligraduate f4 nilianzaga na mambo ya kufanya link shortener nilikuwa natumiaga Adfly, nikaja mambo ya survey nikawa natumia sana Surveysavvy mpaka nilipoingia university ndio nikaanza blogging na huko ndio nikaona online kutamu coz tulikuwa tunatumia proxy kufanya self click kabla ya Kitumbua kuingia mchanga, nikahamia affiliate marketing na Upwork.Njoo pm sio janja mkuu