Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

Kwanini tukiona fursa inayolipa huwa hatupigi pesa hadi tutosheke ndipo tuanze kushirikisha wengine?

Kwanini unatumia nguvu kutangaza? nimeona uzi huu umepost majukwa tofauti tofauti
Anatafuta subscribers wengi wa video zake! Halafu pia kupitia ku invite watu, kuna credits anazipata, tena nyingi kulinganisha na njia nyingine za ku connect watu na matukioa kwenye blog yake!

Kwanini atushirikishe sisi na asiwape fursa ndugu?

Hii ni sawa na may be kuna sehemu umeigundua kuwa pesa zinachimbwa, halafu ukatangazie umma! Hivi inaingia akilini kweli! Kwanini hasiupige mwingi peke yake?
[emoji850][emoji850]
 
Sasa sizungumzii online marketing mkuu,nazungumzia SME investment ,umeenda nje ya mada kabisa hii SME in. 4.9 star kachek playstore
SME huwezi ku i rate, star ni hizo hizo watu wale wale comment zile zile guest huwezi ku comment, usanii wizi mtupu.
 
Kaka, dada na ndugu zako wengine umeshawashirikisha kwenye hii fursa?? [emoji28][emoji28] Au ndo tuseme unatupenda sana watu back na sisi tupige pesa!?

Shida inakuja mtu akiwa na project ina muda mfupi tu anapata pesa za hapa na pale tayari anataka kuaminisha watu kuwa anachofanya ni kitu ambacho na wengine wanatakiwa kufanya.

Fanya hiyo blogging yako for at least miaka 3 kama unaendelea kupata pesa nyingi urudi ushirikishe watu, ila hii una miezi kadhaa tu tayari unaona umemaliza maisha, sio oabisa [emoji28]
 
Habari yako

Mimi ni kijana ambae nilitumia mtaji wa Tsh 25,000 na sasa naingiza laki 4 Hadi laki 7 kila Mwezi.

Mwaka Jana 2021 mwezi wa 3 nilitumia mtaji huo kununua domain name (hii) kisha nikaanzisha Blog ambayo ni hii hapa.
Baada ya kufungua blog yangu nika-apply AdSense kama bloggers wengine wanavyofanya. Haikuchukua muda AdSense wakakubali na hapo ndipo pesa ikaanza kuingia.


View attachment 2227888

MAMBO MUHIMU YA KUWA NAYO
1. Elfu 25,000/ ambayo unalipia Domain (link ya blog) kwa mwaka
2. Kitambulisho Cha mpiga kura
3. Sanduku la posta (P O.BOX) linalofanya KAZI
4. Kadi ya bank (VISA au Mastercard) yenye uwezo wa kupokea pesa mtandaoni. (Binafsi natumia CRDB)
5. Ujuzi wa lugha ya Kingereza Kuhusu mambo mengine kama jinsi ya kupata views, kupost, tutaelekezana kidogo kidogo.
KAMA hivyo vitu unavyo na unahitaji kuwa na blog nipo tayari kukusaidia BURE.

WhatsApp: +255718453258
Keep going man! Naona hate nyng kwenye hii post. Lakini umewapa fursha wamekata... Mim mwenyew nafanya Adsense for a long time. So it's pay well na nmeacha kazi kwa ajili ya online business. Hata kama umemake 400k-600k per month ni bora kuliko mtu ambae kazi yake niumbea JF au kuanza kujudge idea za watu wengi wakati yeye anaangalia from outside. BIG UP SANAA!
 
Ni muongo na mzushi mkubwa

Aseme kwanza kwa mwezi anapata traffic ya watu wangapi?

Wapi hasa ni source ya traffic yake?

Ni muongo mkubwa na anawapotezea muda wajinga

Aseme tena blog yake ina kurasa ngapi zenye content alizoandika yeye kwa mkono wake
 
Hakuna kitu Raha kama unaenda Bank tareh 23 kuchukua Million+++ yaan kidogo wengne tupate ukimw maana wale wadada wa CRDB walinizoea mpaka wakawa wananiuliza unafanya kaz wap mbona wewe mshahara inaingia mapena mm nawaambia Mm ni mtu w IT nafanya kazi na Google muda huo ndio napiga Compter Eng. yang daah wakapagawa hatar.
Na kipnd hcho wafanyakaz walikuwa wanalipwa tareh 30 kabla ya JPM.
Ila watoto wa IFM Mungu anawaona tungekuwa tunaenda China sasa hv kufuata mizigo.
Ikawaje malizia story
 
Blog ina muda mrefu na ina viewers wengi cha ajabu hata kununua domain ya 25000 umeshindwa bado unatumia dotblogspot
nilishawahi nunua domain miaka miwili mfulilzo..saiv nimeacha baada ya kuona lengo langu linagoma..nenda google andika nasmiletz.com utaona inauzwa kwa sababu mi nilishaachana nayo...kwahiyo usikurupuke tu kujibu usivovijua
 
nilishawahi nunua domain miaka miwili mfulilzo..saiv nimeacha baada ya kuona lengo langu linagoma..nenda google andika nasmiletz.com utaona inauzwa kwa sababu mi nilishaachana nayo...kwahiyo usikurupuke tu kujibu usivovijua
Ona aibu basi wewe
 
nilishawahi nunua domain miaka miwili mfulilzo..saiv nimeacha baada ya kuona lengo langu linagoma..nenda google andika nasmiletz.com utaona inauzwa kwa sababu mi nilishaachana nayo...kwahiyo usikurupuke tu kujibu usivovijua
Kama domain tu ya 25000 kwa mwaka unaona hasara, je unaweza kulipia hosting ya 50000 kila mwezi?

Hapo ulipo domain bure hosting bure halafu unajiita blogger?
 
Kama domain tu ya 25000 kwa mwaka unaona hasara, je unaweza kulipia hosting ya 50000 kila mwezi?

Hapo ulipo domain bure hosting bure halafu unajiita blogger?
watu wa tabata akili zenu mnazijua wenyewe na ashura wenu.....maana hata huelewi mi nini nimeandika na wewe unanijibu nini... waliosoma vizuri wameelewa..
 
Back
Top Bottom