Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

Kaka jambazi kamuita kaka ake
 
Tuwasiliane Mkuu sikupati DM

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Thanks
 
Kumbe wewe una element za kibinafsii ndio maana fursa hii haikuja kwako [emoji23]pengine mungu alijuaa autakua baraka kwa wengine kwa kuwafunguliaa A B C pengine wewe ungeweza kukaa kimya na kupata Hela peke yako mwenzio ameonelea na wengine pia ambao wapo passioned na uandishii wanufaike pia

Wewe una ELEMENT ZA KIBINAFSI
 
Unatuaminisha kwa herufi kubwa ..😁 naijua hiyo
 
mtoa mada nakufundisha kitu kimoja, kusanya id za ndugu zako kuanzia baba, mama ,kaka, dada na mdogo wako jumla mnakuwa sita, kila mmoja akipiga laki 7 kwa mwezi mtakuwa na karibia 5m kwa mwezi
 
Kwanini tukiona fursa inayolipa huwa hatupigi pesa hadi tutosheke ndipo tuanze kushirikisha wengine?

Kwanini unatumia nguvu kutangaza? nimeona uzi huu umepost majukwa tofauti tofauti
Tumeumbwa hivyo
 
💥OFFER-OFFER-OFFER BAABKUBWA💥
💥 Jipatie Web Hosting Ya Mwaka Mmoja Kwa Tsh 55,000 Tu! 💥
1️⃣ 25 NVMe SSD Storage
2️⃣ Free Website Migration/Transfer
3️⃣ Maximum Speed (Up to 3x)
4️⃣ Kama Unaitaji (Landing Page) au PHP Script yoyote, tuta-install Bure

⚡️ Usikose ofa hii ya kipekee!.
📞Tupigie: 0780 707 771

NetFasta
💨 Tumezingatia Speed Na Security:
✔️ NVMe SSD Storage
✔️ LiteSpeed Server
✔️ Unlimited Bandwidth
✔️ Imunify360 (Malware Detection and Removal)
✔️ Free SSL Certificates .
 
Amini...Sitozi hata senti moja, nimetoa namba Whatsapp kwa ajili kurahisisha maelekezo. Pia kama watatokea wengi iwe rahisi kuunda group. Ni BURE 100%
Namba za WhatsApp ziko wapi kijana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…