Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Biashara physical kwasasa hapa bongo ni risk sana hamia digital.
 
Tafuta leseni ya Microfinance mkuu.

Kausha Damu ina Hela sana.

Ukifanikiwa kuzungusha milioni 30 tu unapata Faida Ghafi Milioni 6 kwa mwezi ( ambayo ni riba 20% )
 
Hiyo sio biashara mkuu!! Yaani 45m upate faida hiyo?!! Wakati kuna sehemu unaifanyia biashara, hiyo pesa kwa mwezi unapata si chini ya milioni 15?!!
Wapi huko, niweke million 45 nikapate million 15 kwa mwez. Means ndani y miez 3 hela imerud

Acha uongo, ona aibu
 
"consistency".

Wenzako hiyo wanauza kabla haijateremshwa kwenye gari.

Usiwe na shaka, ukikuwa utazowea.
 
Mbona kama risk sana , au mtaji wako uko covered na bima ,
46m kwa profit ya lak 5 . Kwa miez miwili hapn bora uweke Fixed account

Kwa million 20, wenzako wanaingiza 300k had 500,k per day,

Pia x 10000000 ujenge lodge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…