Mtaji wa milioni 45 napata faida ya 500,000 baada ya siku14 ni sawa?

Mtaji wa milioni 45 napata faida ya 500,000 baada ya siku14 ni sawa?

Mkuu mm Biashara Ambazo huwa nafanya na ninazojua huwa ni za kusupply vitu .


Mfano before muda kidogo nilikuwa nafanya Kazi za masoko hapa dar nilikuwa natembelea masokoni then naangalia uhaba wa bidhaa Fulani then nawaletea nawauzia , kama Karanga , Mchele , mafuta ya alizeti n.k


Japo sifanyi tena nipo sector nyingine ya usafirishaji Ila kuna hela Sana hapo .

Muda mwingine kuleta viazi mviringo kutokana Iringa na kuuza Kwa jumla n.k
Kama biashara zipi hizo
 
Haiko sawa hiyo biashara.
Huo mtaji ni mkubwa sana kupata 1M kwa mwezi. Kama ingekua kipato ni 4M minimum ningeona ipo sawa.

My Take:
Kwa huo mtaji Angalia namna ya kuiboresha laki 5 uwe unaipata ndani ya siku 3-5.
 
Haina uwezo wakukua Wala kusambaa
Kama haikui vipi kuhusu kupungua?... Anyway, ni sehemu nzuri ya kuweka fedha ila it's better ufikirie biashara yenye uwezo wa kukua na kusambaa kwa maana hiyo yako ni kama uwekezaji fulani ulio na mgao fixed.
 
Kwa 45M at least 2.5M net profit baada ya all costs ndio ina make sense
 
Kitaalamu hio unayopata ni sawasawa na 27% kwa mwaka.hio kama huna stress au haikusumbui na ina potential ya kukua ni nzuri.

Lakini kama kama haikui basi angalia namna utafute ingine

Hio return ni average hata kwa kampuni kubwa ukizingatia ushindani..


Ukichangamka hakikisha inakuletea 35% hadi 40% maana inabidi ule humohumo


ngoja wengine waje
 
Habar wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni 45m lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14 Hadi mzingo unakua umeisha..je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda..ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaid
Sema n
Habar wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni 45m lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14 Hadi mzingo unakua umeisha..je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda..ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaid sema ni biashara gani tuchangie wazo mkuu?
 
Ndugu, hio ni biashara ya kizembe mno! Kwa mtaji huo wa 45M kupata faida 1M kwa mwezi haikubaliki hata kidogo. Kwa mwezi ilitakiwa ukusanye 5-6M. Pole yote maisha
 
Return on investment = 13.33%

Inaweza kuwa ni biashara nzuri kama risk iko very minimum na haichukui muda wako otherwise fikilia biashara nyingine kwasababu itakuchukua muda kukua.
 
Unapata laki tano ndani ya wiki mbili guaranteed yaani no Risk au unaweza ukapoteza laki moja ndani ya huo muda ?

Lazima ujue jambo moja kama ni no risk au low risk basi hata kama return ni ndogo kiasi gani still its worthwhile kuliko high risk high return (hapo unakuwa jirani na betting)
 
Ndugu, hio ni biashara ya kizembe mno! Kwa mtaji huo wa 45M kupata faida 1M kwa mwezi haikubaliki hata kidogo. Kwa mwezi ilitakiwa ukusanye 5-6M. Pole yote maisha
Nifanye biashara Gani Sasa mkuu ili nikunje hiyo Hela uisemayo 5-6m
 
Habari wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni milioni 45 lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14
Hadi mzingo unakua umeisha.

Je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda?

Ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaidi
Biashara kichaa labda kama ni Real estate
 
Return on investment = 13.33%

Inaweza kuwa ni biashara nzuri kama risk iko very minimum na haichukui muda wako otherwise fikilia biashara nyingine kwasababu itakuchukua muda kukua.
Hii Return ya 13.33% ni kwa mwezi au.. na hiyo unamaanisha kwa Kila uwekezaji isipungue 13.33%..?
 
Hiyo faida ni nzuri hasa Kama hiyo biashara haina risk ya kupoteza mtaji wako.

Endelea nayo.

Usije ukakimbilia biashara zenye faida kubwa na kupoteza mtaji wako ni rahisi sana
Aje ajibu hapa.. kama haina risk ya kupoteza mtaji basi aendelee nayo.
 
Habari wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni milioni 45 lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14
Hadi mzingo unakua umeisha.

Je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda?

Ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaidi
Sio biashara nzuri. Mtaji hauendani na faida unayoipata.
 
Back
Top Bottom