Mtaji wa pamoja kwenye mradi wa kilimo- (joint capital)

Malila, nimependa sana mawazo yenu na wenzako. Nimefunza mengi sana. Binafsi nilianza kilimo from scratch na kwa sasa mambo sio mabaya sana. Nina ekari kadhaa za miti, ila nataka niwekeze zaidi kwenye kilimo cha umwagiliaji. Nitumie PM namba yako tushee mawazo kidogo. Natamani kuwa katika kundi hili.
 
Last edited by a moderator:

Thanks, angalia inbox yako.
 
Wakuu kuna mdau mwenzetu nimemuomba awajoin watu wote walioonyesha utayari naona teknolojia inanipiga chenga kidogo.

Mkuu umefikia wapi na group email? Maana sijapata email yoyote kuonyesha uhai wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…