Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Vyote ni vizuri ila consider locationFriends,
Natumaini hizi zote ni idea nzuri ila ni ipi kati ya hizi iko very promising, yenye mzunguko mzuri wa pesa kwa sasa na kunikuza pakubwa baadae.
Karibuni
Ahsante bossMkuu wekeza kwenye tumbo, kwa hizo option mbili nachagua duka la jumla naona fedha zitazunguka sana hasa hilo duka likihusiana na matumizi ya binadamu ya kila siku.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Pamoja mkuuAina ya duka au bidhaa inategemea sana na wanunuaji wa Hilo eneo. Wanamahutaji Gani? Na kama unataka kuwafanya waanze kuona umuhimu wa kununua bidhaa zako, una uwezo wa kusubiria huo muda wa hao watu wabadilike Hadi kuwa na uhitaji wa bidhaa zako?
Kimsingi, aina ya biashara itaongizwa na wateja wa Hilo eneo unataka kufungua biashara.
So duka jumla au ndio choice yakoHardware ndogo unaweza nunua koleo na misumari hela ikawa imakata.
Ahsante, location aina gani inltafaa hardwarw ya nature hii?I'd go for hardware ndogo, location tu ndio ina matter.
Fanya ya service za magari Kama bushings and joints pamoja na plugs na filtersFriends,
Natumaini hizi zote ni idea nzuri ila ni ipi kati ya hizi iko very promising, yenye mzunguko mzuri wa pesa kwa sasa na kunikuza pakubwa baadae.
Karibuni
Akiwa na eneo anaweza kuongeza na mambo ya tyres na uoshaji wa magari na pikipikiFanya ya service za magari Kama bushings and joints pamoja na plugs na filters
Itamtoa sanaAkiwa na eneo anaweza kuongeza na mambo ya tyres na uoshaji wa magari na pikipiki