Mtaji wa Tshs. milioni 3 uzalishe Tshs. 40,000/= kwa siku; njoo tufanye biashara

Mtaji wa Tshs. milioni 3 uzalishe Tshs. 40,000/= kwa siku; njoo tufanye biashara

Upo tayari uwekezaji ufanyike sehemu gani hapa TZ?

Turudi kwenye mada. Biashara zote zinaweza kuleta kiasi hicho ila kwa upande wangu ningeshauri kuwekeza kwenye CARWASH ya kisasa

Mahitaji.
1.Pressure machine
2.Frame(japo si lazima)
3.Sabuni na Madodoki
4.Tanki la maji(inategemea na eneo)
5.Eneo la parking (At least 5 cars)
6.Friji(For soft Drinks and soft foods kwa ajili ya customers watakaokuwa wanasubiri magari yao)
7.Cheap labour.

Get Rich or Die Tryin
Mkuu samahani, naomba unisaidie wapi naweza kununua pressure machine na ile ya kuanzia upepo wa magari na pikipiki.
 
Yaani mimi nikodi eneo...nilipimie maji..na luku...mwisho wasiku tugawane pasu kwa pasu? Si wehu huo...khaa..au hujaelewa
acha roho mbaya utakufa maskini...we cha kufanya ni kufungua zaidi ya moja ata upate chini yake utakuwa upo kivulini hata ukiumwa mzigo unaingia...tofauti ya maskini na tajiri ni mawazo tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha roho mbaya utakufa maskini...we cha kufanya ni kufungua zaidi ya moja ata upate chini yake utakuwa upo kivulini hata ukiumwa mzigo unaingia...tofauti ya maskini na tajiri ni mawazo tu...

Sent using Jamii Forums mobile app


Hiyo unit nyingine unafungulia kwa hela gan kama hii moja tu mnagawana pesa mkuu?yaan mapato tupate 60000 wewe uondoke na 28000 mie 32000??
Maji kwa mwezi 200000/
Umeme siku 5 5000/
Kodi 80000/@monthly
Kwahyo hapa nan anaumia??😏
 
GROCERY

-frame kwa mwezi let assume 200,000×6=1,200,000/=
Viti kumi 1@15000×10=150,00
Meza nne 1@30000×4=120,000
Sabufa ya 100,000
bia kreti 12 kila aina ya bia labda kreti mbili mbili hapo kwa bei sijui
Soft drink km soda, juice,grandmalt,redbull n.k
Hapo hela iliyobaki utanunulia vinywaji na haitaisha Sasa ukipata location nzuri uhakika wa kuingiza hii 40 upo tena na zaidi hasa Siku za weekend

Kwa Dodoma hii biashara inaonekana inalipa coz kila Siku mabar yanawatu na wamejaa siyo jumatatu wala jumamos mfano ukipata maeneo km
Kisasa
Area D
Site 1
Area c
Ukipata maeneo kama Hayo ukasogeza na chakula karibu unapiga hela
Hakumaanisha mauzo ya siku alitaka kujua faida kwa siku iwe 40,000 kwa biashara ipi kwa mtaji huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo tayari uwekezaji ufanyike sehemu gani hapa TZ?

Turudi kwenye mada. Biashara zote zinaweza kuleta kiasi hicho ila kwa upande wangu ningeshauri kuwekeza kwenye CARWASH ya kisasa

Mahitaji.
1.Pressure machine
2.Frame(japo si lazima)
3.Sabuni na Madodoki
4.Tanki la maji(inategemea na eneo)
5.Eneo la parking (At least 5 cars)
6.Friji(For soft Drinks and soft foods kwa ajili ya customers watakaokuwa wanasubiri magari yao)
7.Cheap labour.

Get Rich or Die Tryin
Umetoa bonge la idea
Labda pesa yake isijitoshereze tu ila akiweza kufuata huu ushauri atatoboa mkuu
 
Upo tayari uwekezaji ufanyike sehemu gani hapa TZ?

Turudi kwenye mada. Biashara zote zinaweza kuleta kiasi hicho ila kwa upande wangu ningeshauri kuwekeza kwenye CARWASH ya kisasa

Mahitaji.
1.Pressure machine
2.Frame(japo si lazima)
3.Sabuni na Madodoki
4.Tanki la maji(inategemea na eneo)
5.Eneo la parking (At least 5 cars)
6.Friji(For soft Drinks and soft foods kwa ajili ya customers watakaokuwa wanasubiri magari yao)
7.Cheap labour.

Get Rich or Die Tryin
[emoji122][emoji122]
 
Hongera sana mkuu!!
Naomba nije PM kwa ridhaa yako
Kwasisi wavuvi,40,000 Ni faida ya samaki 40 tu,,profit margin Ni 1000 kila samaki,
Damka asubuhi mwaloni wahi wavuvi wanapotoka ziwani,baharini,
Tafuta gap sokoni hata kwa kukodi meza weka mzigo,
Au kuwa wholeseller wa samaki,kwa maana ya kununua kwa wavuvi unauza kea wauzaji wa reja reja ama wamama wanaokaanga samaki,
Weka profit margin ya 500 tu kila samaki,samaki 200=faida 100,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo. Nina mtaji wa 3m/=. Walio serious na biashara, waaminifu, wapambanaji waje na IDEA tuzalishe 40,000/= kila siku. Iwe biashara halali tulipe kodi n.k.


Boss tafadhali tukutane chemba kidogo

Regards.
 
Hiyo unit nyingine unafungulia kwa hela gan kama hii moja tu mnagawana pesa mkuu?yaan mapato tupate 60000 wewe uondoke na 28000 mie 32000??
Maji kwa mwezi 200000/
Umeme siku 5 5000/
Kodi 80000/@monthly
Kwahyo hapa nan anaumia??😏
Basi sema tu kwa upande wako hailipi lakini hiyo ya kumwoonea kijicho mfanyakazi kisa mnagawana pasu kwa pasu sio vizuri.

Au nyie ndio wale mkiona mfanyakazi anamaisha mazuri kukuzidi wewe bosi unambambikia kesi ya wizi😂😂😂 hii ilimtokea brother wangu fulani, aliambiwa kaiba million 300
 
Kuna biashara ya Sukari 25Kg kwa Dar inauzwa si chini ya 56.000/= ila kuna chimbo ni kiwanda kipya kimeanzishwa kinauza 36,000/=,laiti ningekuwa nataka kufanya biashara ningepiga huo mchongo.

Ila 3M mimi naonaga hela ya chai ,labda ufungue Mgahawa utakulipa tafuta eneo lenye watu wengi kama Ubungo,K/koo kwa Dar.
 
Mimi nimekuja gundua kila aina ya biashara ina suit mikoa fulani.
Hii biashara Kahama ni zaidi ya ukichaa...
Ukiosha semi..kijana anachukua 7000/ tajiri anachukua 8000/
Ukiosha bajaji 3000..dogo anaondoka na 1500na ww 1500
Gari za kawaida km ni 5000 dogo anaonroka na 2000ofisi 3000!
Maji nalipia mimi..umeme nagharamia mimi...kifupi mwisho wa siku dogo anaondoka na 30unabaki labda na 35 iko hivyo carwash zoote sijajua wanatengenezaje faida...ni modal ya ajabu mno!..
Cheap labour anaondokaje na pesa yote hiyo cheep labour mshahara wake ni elfu tano kwa siku na chakula cha buku na chai ya buku kama mnaenda mpaka jioni pia utampa buku ya chakula, yan kimsingi cheap labour hatakiwi kuondoka na zaidi ya 10,000/= kwa siku ili asije akafanya maendeleo akakukimbia , mlipe kijana pesa ambayo itamlazimu kila siku aje kazini na huku uki train vijana wengine chipukizi .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yah. Figures hasa za mapato zinatamanisha. Ila muhimu naona uni pm uandike cost za kununuwa vitu vya kazi. Kurent eneo. Wafanyakazi wangapi na malipo yao kama nawe utaingiza hela ili nijuwe mgawanyo wa mapato.
Kifupi andika cost zote na income. Tengeneza kama ka spreadsheet hivi kidogo.
Halafu tutaendelea kushauriana. Asante
Hapo umenikomeshea janjaaroo hawa ndo maafisa wa tra anakuja kukupigia hesabu ambazo hazipo.
 
Mimi nimekuja gundua kila aina ya biashara ina suit mikoa fulani.
Hii biashara Kahama ni zaidi ya ukichaa...
Ukiosha semi..kijana anachukua 7000/ tajiri anachukua 8000/
Ukiosha bajaji 3000..dogo anaondoka na 1500na ww 1500
Gari za kawaida km ni 5000 dogo anaonroka na 2000ofisi 3000!
Maji nalipia mimi..umeme nagharamia mimi...kifupi mwisho wa siku dogo anaondoka na 30unabaki labda na 35 iko hivyo carwash zoote sijajua wanatengenezaje faida...ni modal ya ajabu mno!..
Asilimia kubwa tz mfumo ndo upo hivyo kwa carwash na faida inapatikana tu mbona nzuri, kibarua kukuzidi mwenye kijiwe haiwezekani labda uwe una mwoshaji mmoja
 
Back
Top Bottom