Mtaka umesifiwa mbio mpaka umepapita kwenu.

Mtaka ana akili kabisa huyu.
 
Kusema kweli Mtaka ndiye kiongozi pekee wa CCM nilikuwa namkubali lakini kwa utopolo aliosema nimeamua kumpuuza kama ninavyowapuuza viongozi wote wa CCM.
 
Sidhani kama kuna mtumishi wa umma katika nchi hii anaweza kuwa na uwezo kiutendaji.

Mtu alishawahi kuwa mkimbiza mwenge, halafu unataka awe smart, ukishabatizwa kuwa mtumishi wa Serikali inayoongozwa na CCM automatically tu lazima ubongo udumae.

Hakuna excuse yakuwa nje ya ujinga wa CCM ukishakuwa mtumishi wa umma na ukaendelea kuwa mtumishi wa umma, wewe ni sehemu ya ujinga wa kila linaloendelea.

Taifa hili kutoka hapa linahitaji watu zaidi ya 20milioni kufa, wajinga na wapumbavu wapo wengi sana, tena wengine ni wasomi wavaa suti na walioaminiwa.
 
Rc anakosea sana, walioanza kazi mwaka huu wana fear of future, wanawaona maveteran wanavyo pata shida baada ya kustaafu. Wanachohoji ni usalama wa mafao yao in the future
 
mifuko haina pesa serikali imekopa mpaka basi na pesa ya kulipa haipo, Mama anaupiga mwingi, kuzuia pesa ya wastaafu si lengo au huruma kwa wastaafu ni kzuia mifuko isifirisike jamani tuwe tunaelewa, kwani mtu akipewa fedha zake ali aamue mwenyewe shida iko wapi, mwingine atanunua hisa kwenye taasisi za kifedha mwingine anunua bond za serikali mwinine anunulie Ng'ombe iwe benki yake nk nk.
 
Binafsi nafikiri huyo Mtaka anatakiwa aache kupangia watu wazima maneno ya kuongea.
 
Alafu unategemea kiongoz kama huyu awe na maono ya kuliletea Taifa Maendeleo Endelevu kwa kizazi kilichopo na kijacho...Yaani Mkuu wa Mkoa unamwambia mtumishi wa Umma amsubiri Rais wake!? Sasa kwa kizazi kijacho si ndio atawaambia watafute nchi au sayari Yao!??...SOO PATHETIC...
 
I think that quote deserves to the citizens most west Africa Countries and not our beautiful land of Tanzania πŸ’
 
Andiko lako zuri sanaaa. Lingekuwa zuri zaidi kama ungemshambulia Mtaka pekee bila kuihusisha CCM na Sirikali yake. Sidhani kama alitumwa na CCM au Sirikali.
 
Nisamehe mkuu, ila wewe ni wasted sperm.
relax and be free to call me whenever names or rubbish, but I must tell the truth to the public ....

na unajua kweli ni chungu, ikikuzidi ndio hivyo tena lazima uteme nyongo na kuyaporomosha kwa mpangilio kama ambavyo umeanza kwa kishindo πŸ’
 
Andiko lako zuri sanaaa. Lingekuwa zuri zaidi kama ungemshambulia Mtaka pekee bila kuihusisha CCM na Sirikali yake. Sidhani kama alitumwa na CCM au Sirikali.
unadhani hata shida ya huyo muungwana ni Mtaka basi, hicho ni kivuli tu, uchungu na gubu zake zote ni kuhusu hicho chama tu πŸ’
 
Hii njemba naijua vizuri kwa upigaji nikiwa RS ktk mkoa flani ambako yeye alikuwa RC kuna dogo aliamrishwa na huyo bwana afungue acc nmb baada ya dogo kufanya hivyo mzee akachukua ATM lakini dogo alikuwa ameshajiunga na nmb mobile akashangaa baada ya kabla ya wiki kuisha zinaingia 300M usiku zimetolewa mara 500m Mida kidogo zimebeba hadi nikamwambia we kenge piga hata 70m hana cha kukufanya mbona acc ni yako jamaa ooh atanitafuta nikamwambia hawezi fanya hivyo hizi hela siyo halali vinginevyo angeingiza kwenye acc yake mara paap jamaa ananionesha sms 600m baada ya muda zikatolewa kwa installment mara 3 mwisho wa siku dogo kabakiziwa 15k sheinzi kabisa
 
Viongozi wasiojielewa. Yani kiongozi baadala ya kuwatumikia wananchi yeye anafanya juu Chini kuwadhihaki wananchi. Very stupid.
 
relax and be free to call me whenever names or rubbish, but I must tell the truth to the public ....

na unajua kweli ni chungu, ikikuzidi ndio hivyo tena lazima uteme nyongo na kuyaporomosha kwa mpangilio kama ambavyo umeanza kwa kishindo πŸ’
Nmeku ignore mkuu. Nenda kwa amani
 
Mtaka kalewa sifa. Ni RC ambaye ni much know kuliko wote. Na kadiri wanaCHADEMA wanavyomsifia ndo analewa zaidi sifa.
 
Unafedhehesha sn watu wenye akili timamu. Kwa hiyo hao wanaoanza kazi leo lazima wafike 2070. Hivi tunapohimiza kutunza rasilimali za nchi kwa ajili ya kizazi kijacho unadhani hatuna akili. Kwa nini wa sasa tusingefaidi tu wajao wajijue. Hivi wakati Mwl Nyerere anapigania uhuru unadhani alikuwa na shida gani kwao. Au haujui kuwa alikuwa mtoto wa Chief na wakoloni wali favour sn familia za kichifu. Vipi km nayeye angesema hao wanaonyanyasika shauri lao, baba na mama yako wangekuwa na hali gani au wewe mwenyewe.

Huyo anaeanza kazi hujui km ana wazazi au ndugu au rafiki wanaoumizwa na kikokotoo? Au ndo kusema wagawe kisha uwatawale. Anyway, Wa tz kufikiri kwa kutumia nadharia ni kawaida yao huku kupambana na njaa kikiwa ndo kipaumbele.
 
Huyu ni mpuuzi mwenye madaraka, apuuzwe!
Heri hiyo nafasi yake apewe Mwashambwa, anaweza kuwaza kwa upana kuliko yeye.
 
Ukiondoa uliyosoma darasani, yanayobaki ndio akili zako, ndio Mtaka huyo, akiacha kusoma vitabu vya motivational speakers akatumia akili zake, kinachobakia ndio hicho
Huyu ana nukuu chache za vitabu kichwani mwake, akizitamka watu hudhani ni mtu mwenye maarifa. Ni mbu mbu mbu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…