Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hivi hao mawakili wameshindwa kweli kujichanga ndio wafungue kesi? Walifungua kesi wakitegemea pesa za watz? Na serikali mliwapaje kibari cha kutuchangisha uhuu ninupumbavu wafutiwe kibari cha kuchangisha
Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz
Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz