Mtakaochangia mchango wa kufungua kesi hela zenu hazina kazi na kichwani kidogo kuna shida

Mtakaochangia mchango wa kufungua kesi hela zenu hazina kazi na kichwani kidogo kuna shida

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hivi hao mawakili wameshindwa kweli kujichanga ndio wafungue kesi? Walifungua kesi wakitegemea pesa za watz? Na serikali mliwapaje kibari cha kutuchangisha uhuu ninupumbavu wafutiwe kibari cha kuchangisha

Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz
 

Attachments

  • JamiiForums1548481129.jpeg
    JamiiForums1548481129.jpeg
    58.2 KB · Views: 2
Hivi hao mawakili wameshindwa kweli kujichanga ndio wafungue kesi? Walifungua kesi wakitegemea pesa za watz? Na serikali mliwapaje kibari cha kutuchangisha uhuu ninupumbavu wafutiwe kibari cha kuchangisha

Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz
PAKA wa Lumumba kazini.
 
Unaandika "uhu" badala ya "huu", alafu unawaita watanzania wapumbavu?

Watu wanapambana kutetea rasilimali za nchi zisitupwe kiholela, wewe unawaita wapumbavu?

Wanatumia hela zako kuchanga?
Kama unatetea rasilimali si ufanye kwa kujitolea? Hao mawakili wajitolee kuonyesha uzalendo
 
Mlikaa Dodoma mkipanga Kumbe fedha Hamna na kulipana posho Miezi mitatu sasa mnatembeza bakuli Huku mnauza Bandari.

Kwenye kuchangia mawakili nitatoka 10 milioni kuiokoa bandari zetu.

Hii mikataba Sitaki kuiona wala kuisikia
 

Attachments

  • C758B410-E456-4C06-8658-A53D668341FB.jpeg
    C758B410-E456-4C06-8658-A53D668341FB.jpeg
    58 KB · Views: 1
  • 68F66F1A-E361-4ABD-AD91-4433EA1EA6CE.jpeg
    68F66F1A-E361-4ABD-AD91-4433EA1EA6CE.jpeg
    79.5 KB · Views: 1
  • 2A5A96A3-A53D-45AD-A095-C5F86F835BE8.jpeg
    2A5A96A3-A53D-45AD-A095-C5F86F835BE8.jpeg
    32 KB · Views: 1
  • B06351E4-F72B-4897-BB29-452FE8D02DCA.jpeg
    B06351E4-F72B-4897-BB29-452FE8D02DCA.jpeg
    72.9 KB · Views: 1
  • C872126F-571D-41BB-8E21-A1342C70A643.jpeg
    C872126F-571D-41BB-8E21-A1342C70A643.jpeg
    55.3 KB · Views: 1
  • 0B467A50-8879-4588-8904-58E5F35F6722.jpeg
    0B467A50-8879-4588-8904-58E5F35F6722.jpeg
    75.7 KB · Views: 1
  • EFC3D743-EBB4-4E6C-B6BD-0C3D73885BDD.jpeg
    EFC3D743-EBB4-4E6C-B6BD-0C3D73885BDD.jpeg
    150.5 KB · Views: 1
  • CDD6D34B-F9DD-4A07-B8BC-C0C54E1053C3.jpeg
    CDD6D34B-F9DD-4A07-B8BC-C0C54E1053C3.jpeg
    131.1 KB · Views: 1
  • 63806288-6E2D-4C0F-969F-8F71759EF789.jpeg
    63806288-6E2D-4C0F-969F-8F71759EF789.jpeg
    55.1 KB · Views: 1
Unaandika "uhu" badala ya "huu", alafu unawaita watanzania wapumbavu?

Watu wanapambana kutetea rasilimali za nchi zisitupwe kiholela, wewe unawaita wapumbavu?

Wanatumia hela zako kuchanga?
Kwani ngoja nikuulize iyo kazi aliwapa nani?
 
Kama unatetea rasilimali si ufanye kwa kujitolea? Hao mawakili wajitolee kuonyesha uzalendo
Hakuna mzalendo nakwambia hapo walitakiwa wafanye bila malipo na kama walikuwa wanataka nauli wangemuoomba lissu au rais wao wa taaaluma yao
 
Hivi hao mawakili wameshindwa kweli kujichanga ndio wafungue kesi? Walifungua kesi wakitegemea pesa za watz? Na serikali mliwapaje kibari cha kutuchangisha uhuu ninupumbavu wafutiwe kibari cha kuchangisha

Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz
Huu uzi uunganishwe kule , maudhui yanafanana
 
Mlikaa Dodoma mkipanga Kumbe fedha Hanna na kulipana posho Miezi mitatu sasa mnatembeza bakuli Huku mnauza Bandari.

Kwenye kuchangia mawakili nitatoka 10 milioni kuiokoa bandari zetu.
Katoe mzee kwenu nyumba inavuja maji
 
Back
Top Bottom