Mtakaochangia mchango wa kufungua kesi hela zenu hazina kazi na kichwani kidogo kuna shida

Mtakaochangia mchango wa kufungua kesi hela zenu hazina kazi na kichwani kidogo kuna shida

Kama unatetea rasilimali si ufanye kwa kujitolea? Hao mawakili wajitolee kuonyesha uzalendo
Wao tayari wamejitolea utaalam wao, michango ni kwaajili ya kuendesha kesi. Ni kama fundi seremala akuambie, nunua vifaa tu, ila kabati nitalitengeneza bure bila kucharge gharama za ufundi.
 
Acha ujinga bora pesa yako ukale mbusus sio kuchangia ujinga kama uho
Siwezi subiri hii biashara ishamiri I nchini.
Bora nichangie mapema kufukuza Hawa jamaa
 

Attachments

  • FDA81B40-98F7-4D70-827B-E996A4B51550.jpeg
    FDA81B40-98F7-4D70-827B-E996A4B51550.jpeg
    33.9 KB · Views: 1
Hivi hao mawakili wameshindwa kweli kujichanga ndio wafungue kesi? Walifungua kesi wakitegemea pesa za watz? Na serikali mliwapaje kibari cha kutuchangisha uhuu ninupumbavu wafutiwe kibari cha kuchangisha

Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz
Wewe unaumia sehemu gani ya mwili wako watu wakichangia hela waliyoipata Kwa jasho Lao?
 
Hii ni kesi ya wananchi na walamba asali, kwa hiyo tuacheni wananchi tufanye yetu, kodi ngapi tunatoa na zinaishia mikononi mwenu, kuna shidagani mimi mwananchi kutoa 50k yangu kwa ajili ya kulinda rasilimali zetu zisiingie mikononi mwa walamba asali?
 
Hii ni kesi ya wananchi na walamba asali, kwa hiyo tuacheni wananchi tufanye yetu, kodi ngapi tunatoa na zinaishia mikononi mwenu, kuna shidagani mimi mwananchi kutoa 50k yangu kwa ajili ya kulinda rasilimali zetu zisiingie mikononi mwa walamba asali?
Kwnye familia yako unalinda rasilimali ngapi mkuu? Endeleeni kuwapa watu uraji
 
TLS tuambieni kuhusu mikataba ya hovyo iliyosainiwa
 

Attachments

  • 3825E2BE-92F4-44AE-967A-518C07760256.jpeg
    3825E2BE-92F4-44AE-967A-518C07760256.jpeg
    47.9 KB · Views: 1
Sasa watanganyika angalieni huu mkataba.
Nyie na DP World wapi na wapi
 

Attachments

  • 5DE1B10D-9283-465E-81BA-972CDDC7CFA2.jpeg
    5DE1B10D-9283-465E-81BA-972CDDC7CFA2.jpeg
    27.8 KB · Views: 1
  • B3555AC5-5E2F-484B-86C4-64090E9E1875.jpeg
    B3555AC5-5E2F-484B-86C4-64090E9E1875.jpeg
    47 KB · Views: 1
Nlikuwa naskia michango ila sikupata code za kutuma hyo hela! Ngoja nihakiki kama ndo hyo uliyoweka nitume walau 50k itawapush kidogo
 
Unaandika "uhu" badala ya "huu", alafu unawaita watanzania wapumbavu?

Watu wanapambana kutetea rasilimali za nchi zisitupwe kiholela, wewe unawaita wapumbavu?

Wanatumia hela zako kuchanga?
Acha maneno meeengi, changa hela! 🤭🤭🤭🤭🤭
 
Back
Top Bottom