Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ivi hawa watu ndio tunaita wazarendo si wafany kazi bure kwa kujitolea
PAKA wa Lumumba kazini.Hivi hao mawakili wameshindwa kweli kujichanga ndio wafungue kesi? Walifungua kesi wakitegemea pesa za watz? Na serikali mliwapaje kibari cha kutuchangisha uhuu ninupumbavu wafutiwe kibari cha kuchangisha
Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz
Kama unatetea rasilimali si ufanye kwa kujitolea? Hao mawakili wajitolee kuonyesha uzalendoUnaandika "uhu" badala ya "huu", alafu unawaita watanzania wapumbavu?
Watu wanapambana kutetea rasilimali za nchi zisitupwe kiholela, wewe unawaita wapumbavu?
Wanatumia hela zako kuchanga?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Jambo lolote likiingizwa Siasa za Chadema linapoteza mwelekeo!
Peleka si haina kaziPesa yangu haiwezekani unipangie matumizi yake.
Kwani ngoja nikuulize iyo kazi aliwapa nani?Unaandika "uhu" badala ya "huu", alafu unawaita watanzania wapumbavu?
Watu wanapambana kutetea rasilimali za nchi zisitupwe kiholela, wewe unawaita wapumbavu?
Wanatumia hela zako kuchanga?
Hakuna mzalendo nakwambia hapo walitakiwa wafanye bila malipo na kama walikuwa wanataka nauli wangemuoomba lissu au rais wao wa taaaluma yaoKama unatetea rasilimali si ufanye kwa kujitolea? Hao mawakili wajitolee kuonyesha uzalendo
Ila unaenda unakula unashiba iyo unampa mtu apate kula na familia yake acha uzuz bas ungekuwa karibu ningekutwanga ngumi ya usoNipo tayari kuchangia tunachangia vitu vya hovyo kama harusi.
Huu uzi uunganishwe kule , maudhui yanafananaHivi hao mawakili wameshindwa kweli kujichanga ndio wafungue kesi? Walifungua kesi wakitegemea pesa za watz? Na serikali mliwapaje kibari cha kutuchangisha uhuu ninupumbavu wafutiwe kibari cha kuchangisha
Watz siku zote wanawaza kuwapiga watu uhuu ninupumbavu uhu upepo utaenda na pesa za watu hii si sawa mjichangishe wenyewe uko acheni ujinga wakuomba omba michango kwa watz
Katoe mzee kwenu nyumba inavuja majiMlikaa Dodoma mkipanga Kumbe fedha Hanna na kulipana posho Miezi mitatu sasa mnatembeza bakuli Huku mnauza Bandari.
Kwenye kuchangia mawakili nitatoka 10 milioni kuiokoa bandari zetu.
Nicole uzuzu wako wewe kima tapering mkubwa sitaki nikuone hapa tenaHuu uzi uunganishwe kule , maudhui yanafanana
Vitu vilivyopigwa mnada ni vingi mnooKatoe mzee kwenu nyumba inavuja maji