Mtakatifu ni nani?

Mtakatifu ni nani?

GIPAMA

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2016
Posts
1,103
Reaction score
541
Ndugu wana jamiiforum, jukwaa la intelligence, amani na iwe kwenu. Naombeni kusaidiwa kujua jambo hili kwa kina na mifano tosherevu.

Nikirejea katika biblia kitabu cha zaburi 16:4 linasema, "Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio niliopendezwa nao"

Sasa naomba kufahamu
1. Utakatifu ni nini?
2. Mtakatifu ni nani?
3. Je, binadamu, mtu kama mimi naweza kuitwa mtakatifu?
4. Na ili niwe mtakatifu yanipasa kufanya yapi?

Ndugu zangu, nimeleta mada hii hapa ili nipate msaada utakaoniwezesha kupanua uelewa wangu. Naomba msaada wenu ila tujikite zaidi katika maandiko. Yaani pawepo na vivid example.

Asanteni sana.
 
Naombeni kusaidiwa mada tajwa hapo juu.
 
Ndugu wana jamiiforum, jukwaa la intelligence, amani na iwe kwenu. Naombeni kusaidiwa kujua jambo hili kwa kina na mifano tosherevu.

Nikirejea katika biblia kitabu cha zaburi 16:4 linasema, "Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio niliopendezwa nao"

Sasa naomba kufahamu
1. Utakatifu ni nini?
2. Mtakatifu ni nani?
3. Je, binadamu, mtu kama mimi naweza kuitwa mtakatifu?
4. Na ili niwe mtakatifu yanipasa kufanya yapi?

Ndugu zangu, nimeleta mada hii hapa ili nipate msaada utakaoniwezesha kupanua uelewa wangu. Naomba msaada wenu ila tujikite zaidi katika maandiko. Yaani pawepo na vivid example.

Asanteni sana.
Mniombee!
 
Ndugu wana jamiiforum, jukwaa la intelligence, amani na iwe kwenu. Naombeni kusaidiwa kujua jambo hili kwa kina na mifano tosherevu.

Nikirejea katika biblia kitabu cha zaburi 16:4 linasema, "Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio niliopendezwa nao"

Sasa naomba kufahamu
1. Utakatifu ni nini?
2. Mtakatifu ni nani?
3. Je, binadamu, mtu kama mimi naweza kuitwa mtakatifu?
4. Na ili niwe mtakatifu yanipasa kufanya yapi?

Ndugu zangu, nimeleta mada hii hapa ili nipate msaada utakaoniwezesha kupanua uelewa wangu. Naomba msaada wenu ila tujikite zaidi katika maandiko. Yaani pawepo na vivid example.

Asanteni sana.
Maandiko yako kiimani zaidi..! Vivid evidence ziko kwenye sayansi tuu...utakatifu ni dhana ya kiroho kuliko kimwili kwahiyo ukitafuta ithibati za utakatifu hutapata
 
Ndugu wana jamiiforum, jukwaa la intelligence, amani na iwe kwenu. Naombeni kusaidiwa kujua jambo hili kwa kina na mifano tosherevu.

Nikirejea katika biblia kitabu cha zaburi 16:4 linasema, "Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio niliopendezwa nao"

Sasa naomba kufahamu
1. Utakatifu ni nini?
2. Mtakatifu ni nani?
3. Je, binadamu, mtu kama mimi naweza kuitwa mtakatifu?
4. Na ili niwe mtakatifu yanipasa kufanya yapi?

Ndugu zangu, nimeleta mada hii hapa ili nipate msaada utakaoniwezesha kupanua uelewa wangu. Naomba msaada wenu ila tujikite zaidi katika maandiko. Yaani pawepo na vivid example.

Asanteni sana.
Mtakatifu ni yeyote yule ambaye ni INFALLIBLE! Nadhani jibu langu linajibu maswali yako manne kwa kiasi fulani!
 
Maandiko yako kiimani zaidi..! Vivid evidence ziko kwenye sayansi tuu...utakatifu ni dhana ya kiroho kuliko kimwili kwahiyo ukitafuta ithibati za utakatifu hutapata
Aaante kwa hilo, basi naomba kuielewa kwa namna yoyote na kwa maelezo yyte.
 
Ndugu wana jamiiforum, jukwaa la intelligence, amani na iwe kwenu. Naombeni kusaidiwa kujua jambo hili kwa kina na mifano tosherevu.

Nikirejea katika biblia kitabu cha zaburi 16:4 linasema, "Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio niliopendezwa nao"

Sasa naomba kufahamu
1. Utakatifu ni nini?
2. Mtakatifu ni nani?
3. Je, binadamu, mtu kama mimi naweza kuitwa mtakatifu?
4. Na ili niwe mtakatifu yanipasa kufanya yapi?

Ndugu zangu, nimeleta mada hii hapa ili nipate msaada utakaoniwezesha kupanua uelewa wangu. Naomba msaada wenu ila tujikite zaidi katika maandiko. Yaani pawepo na vivid example.

Asanteni sana.
Mtakatifu ni ww na mm Ila matendo yetu tu ndo yanayotunyima utakatifu
 
Mniombee!
Tukuombee nini na kwa Mungu yupi? maana Mungu naemuamini mimi,wewe unaenda kinyume chake kwahiyo siwezi kujisumbua nikuombee kwa Mungu wangu huku wewe unaeombewa unafanya kinyume nae,we katafute Mungu anaeendana na matendo yako ya kishetani ndio wakuombee[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom