Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji115] [emoji120]Sawa mkuu, nahitaji kuelewa zaidi dhana hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji115] [emoji120]Sawa mkuu, nahitaji kuelewa zaidi dhana hii.
Journeynet?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125]In kanda ya ziwa accent
Asante sana ndugu.!Kwa maana ya karibu kabisa tunaweza kusema utakatifu ni hali/hatua ya wewe kuweza kukaa katika mapenzi/kanuni/sheria/njia za Mungu
Mwanadamu yoyote aliyezaliwa ni kwa mfano wa Adam na Eva,tunakuwa tayari waovu kwa kuzaliwa Mith 11:21
Sasa kule kufanywa kuwa mtakatifu sio kwa kutangazwa na kanisa au taasisi fulani,ni kusamehewa dhambi zako kunakoambatana na wokovu
Hebu ona mtiririko wa kufikia utakatifu ulivyo;
wokovu>>utakaso>>utakatifu
Wokovu=uwezo wa kushinda dhambi unaopewa kutoka juu
Utakaso=kuwa na moyo safi
Utakatifu=baada ya kutakaswa
Baada ya hatua hizi wewe sasa unakuwa mtakatifu
Ni kweli utakatifu ni hapahapa duniani ndio maana anasema tafuteni kwa bidii........na huo utakatifu ambao ndio tiketi ya kuingia mbinguni Ebr 12:14
hamna mjomba mm nilikua nakutania tu. ngoja waje wataalamu wa hayo mambo watakusaidia.Kaka, usitenganishe hayo maneno. Pia tifu kuwa fujo c kiswahili sanifu.
Nataka kuelewa watakatifu na si wataka tifu.mtakatiifu ni mimi kichwa kikubwa, na ili uwe mtakatiifu kama mim, Lazima siku zote uwe mtaka-tiifu na si mtaka-tifu.
Wataka-tifu ni weng sana hapa dunian; ukiwemo na wewe mtoa post.
Asante sana na ubarikiwe kwa mchango wako mzuri, naomba urudi tena kwa mwangaza zaidi.[emoji120] [emoji120]Mtakatifu/ utakatifu/ kitakatifu
Ni kitu/ mtu/ mahali iliyo/aliye/ kilichotengwa kwaajili ya kitu fulani
Unatengwa kwaajili ya kusudi fulani hicho kitaitwa kitakatifu
Hata ambao hawajaokoka wapo baadhi ni watakatifu sababu wamesha tengwa na Mungu sababu ya kusudi fulani
Lakini Mungu huwa hawaachi wafe ktk dhambi wanapata neema ya kukombolewa baadaye
Matendo 9:15
Lakini Bwana akamwambia; Nenda tu; kwa naana huyu ni chombo kiteule kwangu; alichukue Jina langu mbele ya mataifa; na wafalme; na wana wa Israel.
16 Maana nitamwonyesha yalivyo mengi yatakayo mpasa kuteswa kwaajili ya Jina langu
## umeona hapo juu; sauli aliku chombo kiteule( kitakatifu cha Mungu)
Na huyo alitengwa toka mwanzo
Haikujalisha historia yake ya nyuma kuwa alikua anaua watu wale wafuas wa Kristo lakini bado Mungu alishasema huyu baadaye atakua hivi na hivi
Ndio maana ukisoma mstar 13
Lakini Anania akajibu Bwana; nimesikia habari za mtu huyu kwa watu wengi; mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako wa Yerusalemu....
Rudi juu uone Mungu alivyo mjibu( mstr 15)
Kwahiyo mtakatifu au kitakatifu kinakua tayar kimetengwa toka mbinguni kwa Mungu kwa kusud maalumu.
Kwahiyo hata ww unayesoma hapa unaweza kuwa mtakatifu
Nitarudi tena nikipata nafasi