Mtakatifu ni nani?

Mtakatifu ni nani?

"Blessed is who has crucified the world, and who has not allowed the world to crucify him. He who has crucified it (the world) is he who has found my Word and has fulfilled it according to the will of him who has sent me".

Kama alivyosema mkuu Mshana Jr utakatifu ni kiroho zaidi na ni ngumu sana kuweka standard. mi naamini watakatifu wapo wengi sana na hata nje ya hizi dini zetu kubwa tunazo amini.
Naomba tafasiri ya hicho kizungu.
 
Utakatifu ni kitendo sasa cha kuwa kutoka mtakatifu

Huko juu nilisema kuwa Paulo/ sauli ni chombo kiteule kwa Bwana( kimetengwa kwa kusudi maalumu)

Baada ya kukombolewa sasa rejea juu kule ktk post yangu

Hapo akaanza kuishi maisha ya kitakatifu

Akaanza kumtumikia Mungu kwa nguvu zote na kwa uwezo wa Roho Mtakatifu sababu tayar alikua ndani yake

Kila mtu ana Roho Mtakatifu
Tofauti ni hii

Aliye mpokea Yesu ndani yake ana Roho Mtakatifu ndani yake; juu yake; na Roho Mtakatifu pamoja nasi

Ambaye hajaokoka ana Roho Mtakatifu juu yake tu yaan watu huwa wanaita machale sijui manin ; au akipanga kitu anapata alert kuwa asiende;

Au kuna maeneo ya ibada hata kama ukiwa cha pombe huwez kuingia kunywa bia kanisani .kwanini? Ni kwasababu Roho Mtakatifu juu yako

Lakin yule aliye naye ndani ; juu; na pamoja nasi

Kuna vitu atavifanya ambavyo tofauti na wengine; kuna matendo yatakua tofauti na wengine

Utakatifu unaanzia ndan hatuwez kuujua kwq matendo ya nje

Tuje kwa Paulo alikua anamtumikia Yesu kwa nguvu zake na roho ma mwil pia.

Ukimpokea Yesu huwez hata chafua mwil wako kwa zinaa.

Au kwa uchafu wowote ule wa dunia hii; utakuwa tofauti na utakua nuru ya wengine

Na ktk utakatifu huo utaona kuna baadhi ya mambo watu wanafanya lakin ww hufanyi hata kama ulitaman ufanye lakin Roho ndani yako itaugua.
1corintho 6:12

Vitu vyote ni halali kwangu; lakini so vyote vifaavyo....
Kwahiyo kuna vitu vingine utaona ni halali kabisa kufanya lakin Roho Mtakatifu atakuambia hakikufai

Utajikuta unaenda ktk style ambayo Unaongozwa na Roho hata ktk mavazi na hata sehemu za kukaa na hata style ya nywele hata nn cha kuongea ktk kinwa chako

Utakua tofauti.

Ukimsoma vizuri paulo utaelewa utakatifu ulivyo. Na maisha ya Yesu yalivyo

Yaan hata dhambi Mungu atakushindia

Sijui umenielewa? Nimejaribu kuelezea kiduchu nikijuacho.

Nitarejea nikiongezewa kingine ndani yangu
 
Hata hapa duniani watakatifu wapo soma hiyo zaburi

Zaburi 16:3
Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora; Hao ndio niliopendezwa nao

Wapo watakatifu tena wengi tu

Sababu wapo wametengwa na kusudi la Mungu

Lakini usifikir pia hawana dhambi
Hapana; na wenyewe wanajinyenyekeza kwa Mungu kuomba toba/ msamaha ili Mungu awasikilize kwasababu bado wapo dunian hapa kuna makwazo; kuna vitu wanafanya bila kujua kuwa wanamkosea Mungu
Wana madhaifu kama binadamu wengine ; ndio maana uwaonapo hao hutakiwi kuwaonyeshea kidole ( kuna vungine ni dhambi imewashika)

Lakin wengine madhaifu

Na katik udhaifu Mungu anasema Neema yangu yakutosha

Nipo nang'ang'ana na Paulo

"Paulo alimsihi Mungu mara tatu atoe udhaifu wake; sababu alipata mafunuo mengi sana. Shetan akapata kiupenyo hapo hapo; alipata mwiba yaan kile kitu kilikua kina muuma kwann najisikia kujisifia sababu ya haya mafunuo

Ukiangalia Paulo aliandika vitabu vingi ktk agano jipya

Ona Mungu alivyo mjibu

2coritho 12:7
Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi; kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili; mjumbe wa shetani ili anipige; nisije nikajivuna kupita kiasi


8 kwa ajili ya kitu hicho nalimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.

9. Naye akaniambia; Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu......


## umeona huko juu na utakatifu wote Paulo alikua na udhaifu


Kamsihi Mungu mara 3 akitoe kile kitu lakini Mungu hakutoa akamjibu Neema yangu yakutosha na ktk udhaifu uweza wake hukamilika

Mungu ni mzuri sana kwetu.


## na hata kama mtu ni mtakatifu lazima aombe toba

Warumi 3:23
Kwasababu hiyo wote wamefanya dhambi; na kupungukiwa na utukufu wa Mungu

## huwez kujihesabia huna dhambi kwahiyo lazima unyenyekee ktk mkono wa Bwana ili upokelewe maombi

Hiyo ni sheria ktk ulimwengu wa roho huwez kuikwepa
Lazima ujitakase.

Umenielewa kuduchu?
 
Nahis nimejaribu kujibu kidogo hilo swali.

Nimejibu kwa sehemu ndogo niliyo pata neema ya kujua. Wengine watajaza sehemu zingine

Tunafahamu kwa sehemu na si vyote
 
Nahis nimejaribu kujibu kidogo hilo swali.

Nimejibu kwa sehemu ndogo niliyo pata neema ya kujua. Wengine watajaza sehemu zingine

Tunafahamu kwa sehemu na si vyote
Thanks for coming dada long time no see you
 
Hata hapa duniani watakatifu wapo soma hiyo zaburi

Zaburi 16:3
Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora; Hao ndio niliopendezwa nao

Wapo watakatifu tena wengi tu

Sababu wapo wametengwa na kusudi la Mungu

Lakini usifikir pia hawana dhambi
Hapana; na wenyewe wanajinyenyekeza kwa Mungu kuomba toba/ msamaha ili Mungu awasikilize kwasababu bado wapo dunian hapa kuna makwazo; kuna vitu wanafanya bila kujua kuwa wanamkosea Mungu
Wana madhaifu kama binadamu wengine ; ndio maana uwaonapo hao hutakiwi kuwaonyeshea kidole ( kuna vungine ni dhambi imewashika)

Lakin wengine madhaifu

Na katik udhaifu Mungu anasema Neema yangu yakutosha

Nipo nang'ang'ana na Paulo

"Paulo alimsihi Mungu mara tatu atoe udhaifu wake; sababu alipata mafunuo mengi sana. Shetan akapata kiupenyo hapo hapo; alipata mwiba yaan kile kitu kilikua kina muuma kwann najisikia kujisifia sababu ya haya mafunuo

Ukiangalia Paulo aliandika vitabu vingi ktk agano jipya

Ona Mungu alivyo mjibu

2coritho 12:7
Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi; kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili; mjumbe wa shetani ili anipige; nisije nikajivuna kupita kiasi


8 kwa ajili ya kitu hicho nalimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.

9. Naye akaniambia; Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu......


## umeona huko juu na utakatifu wote Paulo alikua na udhaifu


Kamsihi Mungu mara 3 akitoe kile kitu lakini Mungu hakutoa akamjibu Neema yangu yakutosha na ktk udhaifu uweza wake hukamilika

Mungu ni mzuri sana kwetu.


## na hata kama mtu ni mtakatifu lazima aombe toba

Warumi 3:23
Kwasababu hiyo wote wamefanya dhambi; na kupungukiwa na utukufu wa Mungu

## huwez kujihesabia huna dhambi kwahiyo lazima unyenyekee ktk mkono wa Bwana ili upokelewe maombi

Hiyo ni sheria ktk ulimwengu wa roho huwez kuikwepa
Lazima ujitakase.

Umenielewa kuduchu?
Asante na ubarikiwe. Kwahiyo sasa, mtu anaweza kujiita mtakatifu?
 
Asante na ubarikiwe. Kwahiyo sasa, mtu anaweza kujiita mtakatifu?[/QUOTE



hiyo kujiita mtakatifu mtu anaweza jiita ndio ni kwa sababu ametengwa ktk kusudi fulani.

Sasa anayejiita mtakatifu lazima ajiangalie je na Yeye kaitwa kama Paulo alivyoitwa na Mungu kuwa wewe utakuwa mtu fulani?

Unajua Mungu anaongea na watu kwa njia mbali mbali mfano njia ya ndoto hii ni mara nyingi sema watu hatujui kufasiri ndoto;

Au kwa njia ya sauti kama Musa alivyo itwa kutoka ktk kijiti au paulo huyo huyo alivyo sikia sauti ya Bwana

Matendo 9:3
Hata alipokuwa akisafiri; ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni.
4 akaanguka chini; akasikia sauti ikimwambia; Sauli; Sauli; mbona waniudhi?

5 Akasema; U nani wewe; bwana? Naye akasema; Mimi ndimi Yesu unaye niudhi wewe
8 Lakin simaka; uingie mjini; nawe utaambiwa yakupasayo kutenda


## umeona hapo juu Sauli aliitwa kabisa na Mungu kuwa ataambiwa yampasayo kutenda

# Mtakatifu sio lazima awe mtumishi wa madhabahuni; anaweza kuwa hata mtu ambaye haubiri lakin Mungu kamtenga ili afanye jambo kupitia yeye

Na lazima uwe makini na ndoto unazo ora pia Mungu aengepo na wewe sababu hata shetan anaweza kukudanganya akajivika uungu

Anakupa maelekezo siyo

Halafu ukiamka unaamka na mafunuo ua ajabu

## tuje hiyo mtu anawezaje jiita mtakatifu

Utajiita mtakatifu kwa kujua kabisa mimi nimeambiwa nikae ktk eneo hili na Mungu nifanye kazi hii

Sio leo mwl; kesho nabii; kesho kutwa muumini; mara mchungaji

Hapo hujui umewekwa wapi

Mtakatifu anajua kabisa mimi kazi yangu ni Mlinzi labda nipo maalumu kwa kuombea vijana; au nchi; au familia; yan lazima Mungu akupe sehemu maalum/ kitengo chako na huto yumbishwa na kitu

Tuje huko kujiita mtakatifu; inategemea unajiita kwa madhumuni gana sasa

Sababu unaweza jiita hivyo halafu shetan akapata mwanya wa kukuangusha

Si unajua moyo huwa unajiinua unajiona bora kuliko wengine; hata kama unajijua mtakatifu huna haja ya kujipa cheo mm naitwa mtakatifu Divine... Hapana lazimw wakati mwingine busara itumike sababu

Kuna watu wataanza kukuheshimu wewe badala ya Mungu aliye hai ns hicho kitu kibaya sana

Chungu hakiwez pata sifa kuliko mfinyanyanzi mwisho wa siku utafanya mfinyanzi apate hasira akibomoe ili atengeneze kingine kitakacho muheshimu


Kwa kias nikijuacho ni hivyo juu
 
Asante na ubarikiwe. Kwahiyo sasa, mtu anaweza kujiita mtakatifu?
hiyo kujiita mtakatifu mtu anaweza jiita ndio ni kwa sababu ametengwa ktk kusudi fulani.

Sasa anayejiita mtakatifu lazima ajiangalie je na Yeye kaitwa kama Paulo alivyoitwa na Mungu kuwa wewe utakuwa mtu fulani?

Unajua Mungu anaongea na watu kwa njia mbali mbali mfano njia ya ndoto hii ni mara nyingi sema watu hatujui kufasiri ndoto;

Au kwa njia ya sauti kama Musa alivyo itwa kutoka ktk kijiti au paulo huyo huyo alivyo sikia sauti ya Bwana

Matendo 9:3
Hata alipokuwa akisafiri; ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni.
4 akaanguka chini; akasikia sauti ikimwambia; Sauli; Sauli; mbona waniudhi?

5 Akasema; U nani wewe; bwana? Naye akasema; Mimi ndimi Yesu unaye niudhi wewe
8 Lakin simaka; uingie mjini; nawe utaambiwa yakupasayo kutenda


## umeona hapo juu Sauli aliitwa kabisa na Mungu kuwa ataambiwa yampasayo kutenda

# Mtakatifu sio lazima awe mtumishi wa madhabahuni; anaweza kuwa hata mtu ambaye haubiri lakin Mungu kamtenga ili afanye jambo kupitia yeye

Na lazima uwe makini na ndoto unazo ota pia Mungu aoengepo na wewe sababu hata shetan anaweza kukudanganya akajivika uungu

Anakupa maelekezo siyo

Halafu ukiamka unaamka na mafunuo ya ajabu

## tuje hiyo mtu anawezaje jiita mtakatifu

Utajiita mtakatifu kwa kujua kabisa mimi nimeambiwa nikae ktk eneo hili na Mungu nifanye kazi hii

Sio leo mwl; kesho nabii; kesho kutwa muumini; mara mchungaji

Hapo hujui umewekwa wapi

Mtakatifu anajua kabisa mimi kazi yangu ni Mlinzi labda nipo maalumu kwa kuombea vijana; au nchi; au familia; yan lazima Mungu akupe sehemu maalum/ kitengo chako na huto yumbishwa na kitu

Tuje huko kujiita mtakatifu; inategemea unajiita kwa madhumuni gana sasa

Sababu unaweza jiita hivyo halafu shetan akapata mwanya wa kukuangusha

Si unajua moyo huwa unajiinua unajiona bora kuliko wengine; hata kama unajijua mtakatifu huna haja ya kujipa cheo mm naitwa mtakatifu Divine... Hapana lazima wakati mwingine hekima itumike sababu

Sababu tunachopigana nacho ni kuwa na mwisho mwema na sio mwanzo mwema

Kuna watu wataanza kukuheshimu wewe badala ya Mungu aliye hai na hicho kitu kibaya sana sababu si wote wenye uelewa unao fanana

Chungu hakiwez pata sifa kuliko mfinyanyanzi mwisho wa siku utafanya mfinyanzi apate hasira akibomoe ili atengeneze kingine kitakacho muheshimu


Kwa kias nikijuacho ni hivyo juu
 
Utakatifu ni ndoto inayofukuzwa bila kupatikana.

Kama namba ya mwisho.
 
hiyo kujiita mtakatifu mtu anaweza jiita ndio ni kwa sababu ametengwa ktk kusudi fulani.

Sasa anayejiita mtakatifu lazima ajiangalie je na Yeye kaitwa kama Paulo alivyoitwa na Mungu kuwa wewe utakuwa mtu fulani?

Unajua Mungu anaongea na watu kwa njia mbali mbali mfano njia ya ndoto hii ni mara nyingi sema watu hatujui kufasiri ndoto;

Au kwa njia ya sauti kama Musa alivyo itwa kutoka ktk kijiti au paulo huyo huyo alivyo sikia sauti ya Bwana

Matendo 9:3
Hata alipokuwa akisafiri; ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni.
4 akaanguka chini; akasikia sauti ikimwambia; Sauli; Sauli; mbona waniudhi?

5 Akasema; U nani wewe; bwana? Naye akasema; Mimi ndimi Yesu unaye niudhi wewe
8 Lakin simaka; uingie mjini; nawe utaambiwa yakupasayo kutenda


## umeona hapo juu Sauli aliitwa kabisa na Mungu kuwa ataambiwa yampasayo kutenda

# Mtakatifu sio lazima awe mtumishi wa madhabahuni; anaweza kuwa hata mtu ambaye haubiri lakin Mungu kamtenga ili afanye jambo kupitia yeye

Na lazima uwe makini na ndoto unazo ota pia Mungu aoengepo na wewe sababu hata shetan anaweza kukudanganya akajivika uungu

Anakupa maelekezo siyo

Halafu ukiamka unaamka na mafunuo ya ajabu

## tuje hiyo mtu anawezaje jiita mtakatifu

Utajiita mtakatifu kwa kujua kabisa mimi nimeambiwa nikae ktk eneo hili na Mungu nifanye kazi hii

Sio leo mwl; kesho nabii; kesho kutwa muumini; mara mchungaji

Hapo hujui umewekwa wapi

Mtakatifu anajua kabisa mimi kazi yangu ni Mlinzi labda nipo maalumu kwa kuombea vijana; au nchi; au familia; yan lazima Mungu akupe sehemu maalum/ kitengo chako na huto yumbishwa na kitu

Tuje huko kujiita mtakatifu; inategemea unajiita kwa madhumuni gana sasa

Sababu unaweza jiita hivyo halafu shetan akapata mwanya wa kukuangusha

Si unajua moyo huwa unajiinua unajiona bora kuliko wengine; hata kama unajijua mtakatifu huna haja ya kujipa cheo mm naitwa mtakatifu Divine... Hapana lazima wakati mwingine hekima itumike sababu

Sababu tunachopigana nacho ni kuwa na mwisho mwema na sio mwanzo mwema

Kuna watu wataanza kukuheshimu wewe badala ya Mungu aliye hai na hicho kitu kibaya sana sababu si wote wenye uelewa unao fanana

Chungu hakiwez pata sifa kuliko mfinyanyanzi mwisho wa siku utafanya mfinyanzi apate hasira akibomoe ili atengeneze kingine kitakacho muheshimu


Kwa kias nikijuacho ni hivyo juu
Asante sana Divine, napata mwanga mkubwa kupitia andiko lako, bado nauliza ili niweze kufaham zaidi.
Je, utajuaje sasa kwamba wewe au mimi nimetengwa sehem maalum kwa ajili ya kazi maalumu?
 
Asante sana Divine, napata mwanga mkubwa kupitia andiko lako, bado nauliza ili niweze kufaham zaidi.
Je, utajuaje sasa kwamba wewe au mimi nimetengwa sehem maalum kwa ajili ya kazi maalumu?
Mungu huwa anaongea kama huko juu nilivyosema.
Unaongea kwa sauti; kwa njia ya ndoto

Sema ktk ndoto hatujui kufasiri; sema ndoto huwa zina kuja kwa mafumbo au waz waz

Au kupitia neno lake unaweza jua

Au pia unaweza ona / pata uchungu na kitu fulani kwanini kipo hivi na hivi na ukaomba kwa Mungu nitumike ktk sehemu fulani. Sasa hapo utakua umeingia agano na Mungu

Au kama ni mwombaji utajikuta Mungu anakupa mzigo wa jambo fulani ikifika masuala ya kuomba wewe upo busy na kuombea nchi

Hawa huwa tunawaita walinzi lakin piq ni watakatifu sababu Mungu kawabebesha mzigo wa kitu fulani ndani yao

Ataomba kwa mzigo kuliko kawaida yaan atabeba lile jambo kama la kwake

Hapo utajua kabisa mimi nimewekwa maalumu kwaajil ya jambo fulani

Nimetengwa kwaajili ya kusimama kuhusu nchi au familia au vijana wa kitanzania

Sijui unanielewa?
 
Na mtu aliyetengwa hukuti analalamika hata kidogo kuhusu jambo halijaenda sawa

Jambo likiharibika halafu aliomba atarud magotin pa Mungu kuuliza au kama karuhusiwa na Mungu kushare na watu wa design yake atashare ili waombe pamoja

Watakatifu wapo wengi; wengine wameokoka tayar wengine bado; wengine wapo tumbon wengine sa hz wanazaliwa

Wengine wanavuta had bangi au wana tabia mbaya

Ila Mungu anawatafutia muda warud ktk nafasi zao ili wafanye kile ambacho Mungu alicho kusudia
 
Na mtu aliyetengwa hukuti analalamika hata kidogo kuhusu jambo halijaenda sawa

Jambo likiharibika halafu aliomba atarud magotin pa Mungu kuuliza au kama karuhusiwa na Mungu kushare na watu wa design yake atashare ili waombe pamoja

Watakatifu wapo wengi; wengine wameokoka tayar wengine bado; wengine wapo tumbon wengine sa hz wanazaliwa

Wengine wanavuta had bangi au wana tabia mbaya

Ila Mungu anawatafutia muda warud ktk nafasi zao ili wafanye kile ambacho Mungu alicho kusudia

Divine ubarikiwe sana........ nimeelewa vizuri sana toka umeanza kutoa ufafanuzi.......
Roho mtakatifu aendelee kukuongoza hivyo hivyo..... Amen
 
Haya mambo ya utakatifu ni siasa za wakatoliki tuu hizi tena wengine waliitwa baba paroko or baba mtakatifu sijui lakini wengi wao ndio wabakaji na walawiti wazuri sana
 
Na mtu aliyetengwa hukuti analalamika hata kidogo kuhusu jambo halijaenda sawa

Jambo likiharibika halafu aliomba atarud magotin pa Mungu kuuliza au kama karuhusiwa na Mungu kushare na watu wa design yake atashare ili waombe pamoja

Watakatifu wapo wengi; wengine wameokoka tayar wengine bado; wengine wapo tumbon wengine sa hz wanazaliwa

Wengine wanavuta had bangi au wana tabia mbaya

Ila Mungu anawatafutia muda warud ktk nafasi zao ili wafanye kile ambacho Mungu alicho kusudia
Samahani
Najua Mungu hatafuti mtakatifu bali mdhambi ili awe mtakatifu
Hao wavuta bangi na wafananao bado hawajawa watakatifu anyhow suala ni moja kuwa hakuna anayezaliwa mtakatifu au kutengwa kwa utakatifu lakini baada ya kuzaliwa na kupata akili na maarifa sasa hapo harakati zako na Mungu zinapoanza ndipo huvushwa kutoka hali ya awali na kufanywa upya hii ni katika maana ya kiroho
Lakini pia hebu tujaribu kutafakari kuwa MTAKATIFU na kuwa MTEULE
Karibu
 
Tukuombee nini na kwa Mungu yupi? maana Mungu naemuamini mimi,wewe unaenda kinyume chake kwahiyo siwezi kujisumbua nikuombee kwa Mungu wangu huku wewe unaeombewa unafanya kinyume nae,we katafute Mungu anaeendana na matendo yako ya kishetani ndio wakuombeeQUOTE]
Huyo huyo Mungu mniombee
 
Back
Top Bottom