Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Khaa huu uwifi umeanza lini...sijui unahusiana na nini ila nimeukataaAsante sana wifi[emoji12][emoji12]
Ukawe mwaka wa baraka tele kwako.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa huu uwifi umeanza lini...sijui unahusiana na nini ila nimeukataaAsante sana wifi[emoji12][emoji12]
Ukawe mwaka wa baraka tele kwako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakorea weusi tupo hujawahi kutuona?Asante dada
Huu mwaka utakuwa wa heri indeed!Mungu ni mwema tumeuona
Nimecheka hapo kwa wakorea weusi [emoji28]
Barikiwa sana...niambie maswali uliyojiuliza nami nitakujibuOoh step mom; kuna maswali imebidi nijiulize....Ahsante sana kwa kunikumbuka na kutamka baraka juu yangu; ni kwa neema tu ya Mungu mimi kuwa hivi nilivyo.
Nakuombea Mungu akadhihirike kwako mwaka huu; atakapotafyta platform ya kujionesha, basi akitumie wewe. Ukawe mwaka utakaobeba alama njema kwenye maisha yako. Mungu atutunze[emoji120][emoji120][emoji120]
Napenda penda sana ama?[emoji23][emoji23]
Why tena , kwani mimi mhuni sana 😂?Ah ningekua nalala kila siku na moyo mvunjiko...ningekua siingii hata jf [emoji16]
Why tena , kwani mimi mhuni sana [emoji23]?
Aah nimejiuliza na kujihoji maswali binafsi, mimi mwenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23]Barikiwa sana...niambie maswali uliyojiuliza nami nitakujibu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
😂😂 ni wishes tu za kawaida usijali, ile IST hadi mwaka mwingine umepinduka hujainunua, nikikuacha ntakua nimekuonea?😀Amna kwakweli ila eeeh[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan tag nmehesabu had nmechoka
Anyway sina nguvu tena ya kutafuta ist mim
Haya[emoji16][emoji16]Aah nimejiuliza na kujihoji maswali binafsi1, mimi mwenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu tulia wifi, kaka yako kafa kaoza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Khaa huu uwifi umeanza lini...sijui unahusiana na nini ila nimeukataa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakorea weusi tupo hujawahi kutuona?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] ni wishes tu za kawaida usijali, ile IST hadi mwaka mwingine umepinduka hujainunua, nikikuacha ntakua nimekuonea?[emoji3]
Hahaaa shukrani sana Bigi CDO much love [emoji120][emoji120]Yes, mwanajeshi wangu wa infantria Karma upendo mwingi sana juu yako. 2022 punguza usela damu yangu unaweza ukayawin back mapenzi.
Saint Anne dada yangu wa Ulaya ya Tanzania, hana makuu kabisa, very polite and social with high self-esteem. Huwezi mkuta anaomba koneksheni ya mirinda hata kama ilimpita, hana time na worldly things kivile ye anapenda kuenjoy nature (God's creation). Pia ana mwandiko mzuri [emoji2][emoji2]
Extrovert Anaupiga mwingi, mnyamwezi flani japo amezaliwa TZ
billdrago a.k.a bolo yanki
Emiir T 1990 ELY moudgulf Shimba Ya Buyenze Kashaija72 mkwepu jr Mshana Jr
I, donlucchese of the Lucchese family mpiganaji wa Castellammarese War, Nawatakia kheri ya Mwaka mpya 2022
Happy New Year dada [emoji7][emoji7]Na mimi naomba niwatakie heri watu wangu wa nguvu kama ifuatavyo
Naanza na my step daughter Heaven Sent. Sijui ulifikiria nini kujiita hivi ila jina hili limepita mulemule.... you're truly a heaven sent gift to us. Mungu akutunze huu mwaka na mingine ijayo uendelee kufanyika baraka kwa wote wanaokuzunguka. Msalimie mzee wako Kaboom mwambie nimemmisi...na mama yako hivi ndio yule Habun? Mwambie namtakia heri ya mwaka mpya
Mdogo wangu Saint Anne umekuwa ndugu yangu sasa sio rafiki tu..mwaka 2022 ukawe mwaka wa kutimiziwa ndoto zako.
Karma Joanah Carleen financial services my babe Culture Me nawatakieni kila lenye heri
Kaka zangu, wadogo zangu, rafiki zangu Relief Mirzska The Monk Mjep my pachaz RRONDO TANMO Chaliifrancisco Bonny (umepotea sana) Bufa MO11 Extrovert Shimba Ya Buyenze Watu8 my uncle andjul Carlos The Jackal Inside10
Wadau wangu wote wa vituko mitandaoni mkiongozwa na mzee wenu mshirikina Mshana Jr nawasalimu Sana
Wadau wangu wa uzi wa likes sijawasahau nawakumbuka Sana... capitalpool my all time crush awawakilishe kwenye salamu zenu
Wadau wangu wakorea weusi DAEMUSHIN Numbisa Nifah The Happiness wengine majina yenu magumu jamani[emoji28][emoji28]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nimekuacha maana hujatimiza ahadi😂Unanionea kila siku