Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku.Mara ligi ya benki,mara ligi ya nani.Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Aisee inafikirisha Sana
 
Wape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.

Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.

Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku.Mara ligi ya benki,mara ligi ya nani.Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Muandishi na mshairi maarufu wa zama za Warumi, Juvenal, katika kitabu chake Satire. (Kejeli), aliandika kwamba, mtawala ukitaka kuwatawala watu wengi wa kawaida, wape vitu viwili, mkate (chakula cha chini kabisa cha Warumi) na michezo.

Bread and circuses.

Ndicho kinachotokea.

Ila msiwanyanyapae watu kwa kupenda wanachopenda.

Ni haki yao ya kikatiba.

Si lazima kila mtu awe tajiri na msomi.

Tumia fursa hiyo kujiongeza wewe binafsi.
 
Wape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.

Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.

Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
Mkuu tumeandika karibu sawa kwa pamoja bila kuwasiliana.
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku.Mara ligi ya benki,mara ligi ya nani.Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Acha jazba,huwezi jadili na kupanga mambo ya uchumi kutwa nzima,pia huwalishi hao...halafu waende motoni kwa lipi!?
 
Wape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.

Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.

Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
Huko kwenye mapinduzi ya kiuchumi,sayansi na vingine ndiko kuliko na michezo mingi
 
Huko kwenye mapinduzi ya kiuchumi,sayansi na vingine ndiko kuliko na michezo mingiapinduz

Huko kwenye mapinduzi ya kiuchumi,sayansi na vingine ndiko kuliko na michezo mingi
Mapinduzi yanayo zungumziwa hapa sio ya kiuchumi wala sayansi bali ni mapinduzi ya kifikra. Emancipate your self from mental slavery lengo la michezo ni kukupoteza lengo lako la kuwa hapa duniani matokeo yake utaanza kufata nyota.

Ndiyo maana kuna nyota wa mpira wa miguu anaitwa star au mwanamuziki maarufu anaitwa nyota au star kuwa na akili soma mada uielewe
 
Mapinduzi yanayo zungumziwa hapa sio ya kiuchumi wala sayansi bali ni mapinduzi ya kifikra. Emancipate your self from mental slavery lengo la michezo ni kukupoteza lengo lako la kuwa hapa duniani matokeo yake utaanza kufata nyota.

Ndiyo maana kuna nyota wa mpira wa miguu anaitwa star au mwanamuziki maarufu anaitwa nyota au star kuwa na akili soma mada uielewe
Utafanya mapinduzi ya kiuchumi na kisayansi bila fikra!?..utakaa kutwa unafikiri!?
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Timu zenyewe sasa ukijumlisha zote upati timu moja,wako kama vichaa
 
Wape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.

Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.

Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
Ndio maana hata maraisi wanatoa bajeti zao kupeleka mpirani.
 
Back
Top Bottom