Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

Mtakufa malofa na moto mtauingia kwa kuendekeza mpira

We ndo maskini Sasa kama ni hivyo viwanja vya Mpira visingejaaga kote ulimwenguni ni mchezo pendwa kama upendi ni wewe na inaonekana ujawahi enda ata stadium wewe unawaza Umaskini tu
Kama hupendi mpira tulia tunaopenda tuendelee kuupenda na kushabikia kwa sababu sio dhambi kupenda mpira ni moja ya starehe, kama unashibikia rede unataka Kila mtu apende rede🤔🤔
Nimesema niliwahi kupenda halafu nikaona ujinga nikawacha.Naamini na nyinyi iko siku mtatia akili muwe kama mimi.
 
Sio kweli mechi siku hizi ni kila siku.ikiwa si Temeke basi ni London au Spain.
Kwa hiyo mechi ya temeke na London watz huingia uwanjani tangu asubuhi!?..mbona hufikiri!!..halafu kakwambia nani mpira wa London umeanza kufuatilia siku hizi!?..mbona siku hizi ndiyo upenzi umepungua
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Me sio mpenzi wa mpira ila nakumbuka kipindi Cha nyuma mpira ulikuwa Mara Moja Moja siku hizi mpira naona Ni mar kwa Mara mfano juzi kumbe kulikuwa na mpira Jana nafika job ndo nasikia watu wanazungumzia sijui tumepita hatua flani kumbe timu ya taifa imefuzu hatua flani

Na hii mipira naona imewekwa kutusahaulisha mambo ya Ovyo yanayofanywa na CCM


Haiwezekani Kuna shule wanakaa chini madaraja hakuna hospital madawa hakuna afu watu wanacheza mpira unawapa 10milion per goal kwani hawana mishahara?
 
Kwa hiyo mechi ya temeke na London watz huingia uwanjani tangu asubuhi!?..mbona hufikiri!!..halafu kakwambia nani mpira wa London umeanza kufuatilia siku hizi!?..mbona siku hizi ndiyo upenzi umepungua
Hivyo vishughuli wanavyofanya navyo hawana umakini kwa kufikiria mechi ya lisbon itakayochezwa jioni.Na wengine wanaweza kuacha kazi akaingie kwenye banda achungulie kinachoendelea huko.Maendeleo yatapatikana wapi hapo.
 
Hivyo vishughuli wanavyofanya navyo hawana umakini kwa kufikiria mechi ya lisbon itakayochezwa jioni.Na wengine wanaweza kuacha kazi akaingie kwenye banda achungulie kinachoendelea huko.Maendeleo yatapatikana wapi hapo.
Huko wanokochezq mbona Wana maendeleo!?..halafu mbona vibanda umiza havijai mpaka dk 15 kabla ya mechi kuanza!?..we unajua shughuli ya kila muingia kibanda umiza!?
 
Me sio mpenzi wa mpira ila nakumbuka kipindi Cha nyuma mpira ulikuwa Mara Moja Moja siku hizi mpira naona Ni mar kwa Mara mfano juzi kumbe kulikuwa na mpira Jana nafika job ndo nasikia watu wanazungumzia sijui tumepita hatua flani kumbe timu ya taifa imefuzu hatua flani

Na hii mipira naona imewekwa kutusahaulisha mambo ya Ovyo yanayofanywa na CCM


Haiwezekani Kuna shule wanakaa chini madaraja hakuna hospital madawa hakuna afu watu wanacheza mpira unawapa 10milion per goal kwani hawana mishahara?
Kwa mwezi unafanya mapenzi mara ngapi na kwanini unapoteza muda kufanya ngono baadala ya kutengeza pesa?
 
Huko wanokochezq mbona Wana maendeleo!?..halafu mbona vibanda umiza havijai mpaka dk 15 kabla ya mechi kuanza!?..we unajua shughuli ya kila muingia kibanda umiza!?
Si umeona UK wanaporomoka mpaka karibuni watakuwa kama tz.Tangu lini mataifa yanayopeleka watu mwezini kama India wakacheza mpira wa miguu.
 
Si umeona UK wanaporomoka mpaka karibuni watakuwa kama tz.Tangu lini mataifa yanayopeleka watu mwezini kama India wakacheza mpira wa miguu.
Kuna michezo mingi marekani kuliko uk
 
Mkuu mambo ya maana kwako ni yapi na hiyo kudiscuss mambo ya maana kwako imekusaidia nn hadi Sasa?Umeanza kuchambia panga?
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Huna akili masta
 
We mbona unapoteza hela Zako unanunua bundle unakuja kutumia jf hupati chochote mwenzako Maxence Melo anaingiza hela kupitia wewe.


Kaz yako ni kusengenya watu tu, ukifa hautakua na majibu mazuri kwa mola wako na motoni utaingia
 
Kwa mwezi unafanya mapenzi mara ngapi na kwanini unapoteza muda kufanya ngono baadala ya kutengeza pesa?
Hayo ni mambo ya usiku usiku.tena wakati wa mapumziko.Sio wakati wa kazi.
 
We mbona unapoteza hela Zako unanunua bundle unakuja kutumia jf hupati chochote mwenzako Maxence Melo anaingiza hela kupitia wewe.


Kaz yako ni kusengenya watu tu, ukifa hautakua na majibu mazuri kwa mola wako na motoni utaingia
Hailingani kabisa kutazama mpira au kuingia uwanjani na kuingia JF.Hapa ni pahala pazuri pa kupeleka ujumbe mpaka kwa raisi na kwako mlalahoi .Pesa anayoingiza maxence melo ni safi si kama ile ya kwenye jumba la kubeti.
 
Hailingani kabisa kutazama mpira au kuingia uwanjani na kuingia JF.Hapa ni pahala pazuri pa kupeleka ujumbe mpaka kwa raisi na kwako mlalahoi .Pesa anayoingiza maxence melo ni safi si kama ile ya kwenye jumba la kubeti.
We uko hapa kusengenya huna unachopata zaidi , ukitaka wakuelewe wafate kwenye hayo mabanda uwaambie
 
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.

Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.

Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.

Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Hata ufanye kazi vipi,mwisho wa siku mwili unahitaji burudani. Sasa hapo kwenye burudani kila mtu anayo ya kwake, kama ifuatavyo; kuna wapenda mpira, sinema, vinywaji mbalimbali, ngono, safari, utalii sehemu tofauti zikiwemo mbuga za wanyama, muziki, disco, kuogelea, kula, kulala etc...!! Na burudani hizo zina gharama tofauti tofauti. SASA WEWE UNADHANI STAREHE NI WOTE TUPENDE UNAVYOVIPENDA WEWE..!!

Hata starehe yako ikiwa ni savvanah, bado wenzio watatia pesa uliyonunulia savana mfuko, hata upende kwenda mbugani, bado utalipia kuwaona wanyama, utalipa nauli chakula, kulala etc na hivyobado wenzio watatia pesa mfuko. etc kifupi hakuna cha bure. Hivyo kutuambia kuwa .. nanukukuu.. "Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele" .. Mwisho wa kunukuu, ni yale yale tu..!!

BTW, hata kama huangalii au huzungumzii kuhusu mpira, kipo kitakachokupa matokea sawasawa na anayezungumzia mpira. Mtatofautiana namna matokeo hayo yanavyowajia..!!

Hii ni sawa na wale wanaowasema wanaokunywa pombe kwamba wakiacha pombe, kwa mwaka mmoja wanaweza kununua gari, WALIPOULIZWA KAMA WAO WANAKUNYWA, WAKASEMA HAPANA, HAWANYWI, WALIPOAMBIWA WAONYESHE MAGARI WALIYOYANUNUA, WAKABAKI KUTOA MACHO TU..!!
 
Back
Top Bottom