Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Dah! Sio kwamba tunashindwa la hasha! Ni kwa vile tu uchumi umeshuka, hasahasa ninyi mnaojieka ki baby Zuu, inafikia hatua tunajiuliza kuwa endapo tutawarushia nyavu, tutakuwa tayari kukabiliana na majibu machafu mtakayotupatia? Vipi kuhusu gharama za kuwalipa?
Inapotokea chance ya ninyi kuwatongoza wanaume mnaowapenda, fanyeni hivyo. Msikubali kufa na tai shingoni. Sisi wanaume ni warahisi kutongozeka
Binti mmoja alinitumia jumbe na kuniomba nishare na wanafamilia wangu uko X ili wadau wampatie ushauri
Inapotokea chance ya ninyi kuwatongoza wanaume mnaowapenda, fanyeni hivyo. Msikubali kufa na tai shingoni. Sisi wanaume ni warahisi kutongozeka
Binti mmoja alinitumia jumbe na kuniomba nishare na wanafamilia wangu uko X ili wadau wampatie ushauri