Mtakuja kutuua...

Hivi upo wewe binadamu, aisee nilikumiss sana
 
Kufa hamfi -- cha moto mtakipata! Poleni jamani kama hamuwezi kustahimili vishindo kwa muda mrefu
 
Wao niraha kupewa haki yako.
Kweli.
 
Hakuna hata chembe ya utamu kidogo uliyoipata?
 
Nlipata mwingi tu
Hilo la msingi mengine ni changamoto tuzza hapa na pale, ila wakati mwingine ninyi mna matusi afadhari huyo kawakilisha timu yetu .!!!
Lakin pole mpendwa kwa ajali
 
Hilo la msingi mengine ni changamoto tuzza hapa na pale, ila wakati mwingine ninyi mna matusi afadhari huyo kawakilisha timu yetu .!!!
Lakin pole mpendwa kwa ajali
Ahsante sana
 
Hapa Mr Nyumbani ulitafutiwa ugomvi ili wakasirikiane au uliambiwa kichwa kinauma au uliambiwa nimechoka.... Mbinu zao ni nyingi hawa especially kama Mr Mwenyewe hapo nyumbani hakuwa na hili wala lile masikini , wala usiumize kichwa mkuu.


Umeandika kwa hisia za juu san..hahaa umejuaje haya yote ndugu mshiriki
 


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‹ Jumapili hii naomba uchague zawadi ambayo iko ndani ya uwezo wanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

ngoja nimwachie mwenyekiti mbobezi@Evelyne Salt hili alidadavue!
_kweli best unaonekana umekwepa mishale mingi😁😁na hadi hii comment ya 2 bado unaonekana kurudisha mpira kwa kipa!haya mambo bwana..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…