Mtakuja kutuua...

Mtakuja kutuua...

Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....

Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?

Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
Hivi upo wewe binadamu, aisee nilikumiss sana
 
Kufa hamfi -- cha moto mtakipata! Poleni jamani kama hamuwezi kustahimili vishindo kwa muda mrefu
 
Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....

Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?

Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
Wao niraha kupewa haki yako.
Kweli.
 
Hakuna hata chembe ya utamu kidogo uliyoipata?
 
Nlipata mwingi tu
Hilo la msingi mengine ni changamoto tuzza hapa na pale, ila wakati mwingine ninyi mna matusi afadhari huyo kawakilisha timu yetu .!!!
Lakin pole mpendwa kwa ajali
 
Hilo la msingi mengine ni changamoto tuzza hapa na pale, ila wakati mwingine ninyi mna matusi afadhari huyo kawakilisha timu yetu .!!!
Lakin pole mpendwa kwa ajali
Ahsante sana
 
Hapa Mr Nyumbani ulitafutiwa ugomvi ili wakasirikiane au uliambiwa kichwa kinauma au uliambiwa nimechoka.... Mbinu zao ni nyingi hawa especially kama Mr Mwenyewe hapo nyumbani hakuwa na hili wala lile masikini , wala usiumize kichwa mkuu.


Umeandika kwa hisia za juu san..hahaa umejuaje haya yote ndugu mshiriki
 
Ukiona hivi ujue nimekwepa mishale mingi (Legend)

Ha ha ha ha sometime mnatafuta sababu tu ili Nyege zote ahifadhiwe bwana mkunaji kama kuna miadi.

Unajua heri ya mwanamke anayechepuka kwa reason angalau it make sense kuliko anayechepuka for funny (Yule ambaye amsha amsha za kuchepuka ndiyo burudani kwake)..... Huyu anaweza kumjazia mumewe Yutong akiwa humo humo ndani ya nyumba akihesabika ni mume wa fulani...


😂😂😂😂😂😂😂😋 Jumapili hii naomba uchague zawadi ambayo iko ndani ya uwezo wangu😂😂😂!

ngoja nimwachie mwenyekiti mbobezi@Evelyne Salt hili alidadavue!
_kweli best unaonekana umekwepa mishale mingi😁😁na hadi hii comment ya 2 bado unaonekana kurudisha mpira kwa kipa!haya mambo bwana..!
 
Back
Top Bottom