Mtakuja kutuua...


Hiyo ndo shida ya kutembea na Wanaume wasio na options nyingi za Mademu kwa hiyo siku akibahatika kupata demu anataka amalize kiu yote kwa maana hajui lini tena!
 
Niliblock namba bro, baada ya siku tatu mwili kupoa, na organ zote za mwili kurudi katika hali ya kawaida nikarudi kwa ile number taratibu nikai unblock....
Hahaha!, kwahiyo akikutafuta utampa tena mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…