Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #41
ni zaidi ya kile cha mbwa kokoKipigo kibaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni zaidi ya kile cha mbwa kokoKipigo kibaya sana.
Tafuta kazi ya halali itakayokuingizia kipato,Nasemaje, nimekoma!!!!!
Una roho ngumu rafiki angu, sawa buanaHONGERA kwa shemela.
Kuna muda ADABU zinarudishwa kwa ngozi!!
KUHESHMIANA MUHIMU!!
mwambie apitie juice ya stafeli.
Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....
Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?
Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
Alieniumba hakunipa agizo la kufanya kazi, aliniagiza nizae kwa uchungu....Tafuta kazi ya halali itakayokuingizia kipato,
Kwani hua ynachaji bei gani vile?
Hahaha!, kwahiyo akikutafuta utampa tena mchezo.Niliblock namba bro, baada ya siku tatu mwili kupoa, na organ zote za mwili kurudi katika hali ya kawaida nikarudi kwa ile number taratibu nikai unblock....
Mtakuja kufa kwa mshtuko wa moyo, mapenzi ni kufurahia na sio kukomoana. Unapiga game, ukitoka hapo uwezi kutembea. Nyapu imetepeta, mkuyange umevimba mambo gani sasa hayo?
Hamna umeme wala kibatari everything is safe..... ila tu hiyo pwa pwa pwa ndo shidaHapo kama jamaa ana umeme hakika lazima uunganishwe kwenye grid ya taifa...teh teh!
Pea pwa pwa, for five great hours...teh teh. Mfanye mapenzi, sio kuumiza vikojoleo jamani.
Anaila utadhani katoka jela mxyuuuHiyo ndo shida ya kutembea na Wanaume wasio na options nyingi za Mademu kwa hiyo siku akibahatika kupata demu anataka amalize kiu yote kwa maana hajui lini tena!
Wenye churaChezea mchepuko wewe!!
WeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHahaha!, kwahiyo akikutafuta utampa tena mchezo.
Ahsante sanapole sana
Sio mchepukoMleta Mada katisha kwa hili ,umechepuka ukakutana na mkali wa michepuko
Nacheka kila nikisoma post za huu Uzi, sasa hapo inatakiwa umpe tenaSio mchepuko