Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usirudie usijevunja mguu
[emoji23] Navaa mara moja moja sana kama siendi mbali. Ila heels bwana ni nzuriiii mtu akivaa anapendeza sana.Usirudie usijevunja mguu
ISiwe ndefu sana ila wanawake mna jitakiaga shida wenyewe. Kuna siku nimemuona mdada kavaa hiko kiatu kirefu alafu kilivyokaa kwenye unyayo kule kujipinda sijui kubinuka, nikabaki kucheka. Hamuumii mguu unavyokaa kama unasimamia ukucha?[emoji23] Navaa mara moja moja sana kama siendi mbali. Ila heels bwana ni nzuriiii mtu akivaa anapendeza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
ISiwe ndefu sana ila wanawake mna jitakiaga shida wenyewe. Kuna siku nimemuona mdada kavaa hiko kiatu kirefu alafu kilivyokaa kwenye unyayo kule kujipinda sijui kubinuka, nikabaki kucheka. Hamuumii mguu unavyokaa kama unasimamia ukucha?
Naonaga kama mnateseka sana
Kuna vingine havina shida. Mfano vile vyenye kisigino kinene alafu sio virefu sana wala hata havina shida kwa mizunguko ya kawaida.Naonaga kama mnateseka sana
Hapo kwenye visigino kuna vile vya ncha na vingine kama tule tuglass twa wine 🙌😅 aisee na kinambeba chibonge kabisaKuna vingine havina shida. Mfano vile vyenye kisigino kinene alafu sio virefu sana wala hata havina shida kwa mizunguko ya kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
NDio mguu wako ?Vile hata mimi siwez. Nikivaa kisigino chembamba bas kwa chini lazima kiwe kama hiko hapoView attachment 2597083
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Tena mchuchumio wa mtumba.Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti Kimanga mpaka Kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio?
Jaman! Yaan wadada tumekuwa na vigimbi vya miguu wachezaji mpira wakasome! Tuvae raba bas au simple shoes.. Mbona zipo na rahisi kutembelea umbali wowote.
Wanaume nanyi mnaangalia tu,eti? Mi naona hizi mambo tuwaachie wenye usafiri,eti?
Ndio ni mguu wangu. Yes urefu huo angalau hakichoshi sana.NDio mguu wako ?
Urefu huo una afadhali
[emoji23]Kwanza hayo maviatu sijawah kuona yaliyo mpendeza,kwanza unakuta,mengine yale ambayo mbele yana uwazi unakuta mavidole yametokeza kwa mbele
Huwa naona wanawake wavijijin wanajaribu kuyavaa wanaenda kanisani au gulioni lakin wakat wa kurudi huwa wanayashikilia mikononi wanaanza kukanyaga chini