Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ofisi za umma zipi unazozizungumzia ndugu.....mbona kuna vimini vimeishia chini ya makalio vimejaa huku?Kwenye ofisi ya Umma kwa mwanamke nguo inatakiwa kuvuka magoti hasa skirt au gauni hivyo walikuwa na haki ya kumtimua