joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Hii ni miongoni mwa sababu kubwa Diaspora na Afro Americans wamechagua kuja Tanzania kwa wingi kutokana na usalama wa Tanzania
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar ni miongoni mwa majiji masafi sana hapa Africa, weka ushahidi kwamba Dar ni chafu, kama unazungumzia Vingunguti na mitaa ya vichochoroni, Hiyo ni habari tofauti, lakini hakuna mgeni hata mmoja aliyelalamika kuhusu uchafu au ukosefu wa usalama DarMh! Labda Hilo la usalama lakini uchafu mbona hta dar ni pachafu Sana?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Unatatizo la exposure. Unavyo ambiwa uchafu elewa niuchafu kwelikweli.Mh! Labda Hilo la usalama lakini uchafu mbona hta dar ni pachafu Sana?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
So hizo mitaa ulizotaja sio za Dar?Dar ni miongoni mwa majiji masafi sana hapa Africa, weka ushahidi kwamba Dar ni chafu, kama unazungumzia Vingunguti na mitaa ya vichochoroni, Hiyo ni habari tofauti, lakini hakuna mgeni hata mmoja aliyelalamika kuhusu uchafu au ukosefu wa usalama Dar
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ni sawa na kuzungumzia Kibera, kamwe huwezi sema Nairobi ni chafu kwa kutumia Kibera kama "point of reference". Huyo anazungumzia maeneo ya CBD na yale ambayo ni "planned areas", ambako kunapaswa kuwepo na miundombinu yote ya usafi, Kibera hata mkokoteni wa kubeba takataka hauwezi fika huko, huwezi kutegemea kuwe kusafiSo hizo mitaa ulizotaja sio za Dar?
Ni sawa na kuzungumzia Kibera, kamwe huwezi sema Nairobi ni chafu kwa kutumia Kibera kama "point of reference". Huyo anazungumzia maeneo ya CBD na yale ambayo ni "planned areas", ambako kunapaswa kuwepo na miundombinu yote ya usafi, Kibera hata mkokoteni wa kubeba takataka hauwezi fika huko, huwezi kutegemea kuwe kusafi
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Na hiyo ndio innovation pekee iliyovumbuliwa na ngozi nyeusi bila kuwategemea mabwana zao na ikafanikiwa failed state [emoji23][emoji23][emoji23]Haaa haaa
[emoji16][emoji38][emoji3]
Kibera hata sehemu ya kuchimba choo hamna. Ndiyo maana wakawa innovative kwa kuanzisha flying toilets. The toilets of its own kind on earth.
Mbona basi unatumia kibera na turkana ku conclude km wakenya ni maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni sawa na kuzungumzia Kibera, kamwe huwezi sema Nairobi ni chafu kwa kutumia Kibera kama "point of reference". Huyo anazungumzia maeneo ya CBD na yale ambayo ni "planned areas", ambako kunapaswa kuwepo na miundombinu yote ya usafi, Kibera hata mkokoteni wa kubeba takataka hauwezi fika huko, huwezi kutegemea kuwe kusafi
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usilie broMbona basi unatumia kibera na turkana ku conclude km wakenya ni maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MY TAKE: Hii ni miongoni mwa sababu kubwa Diaspora na Afro Americans wamechagua kuja Tanzania kwa wingi kutokana na usalama wa Tanzania
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mkuki ke nguruwe binadamu tamu sio[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usilie bro
Acha kuongea vitu kisengerenyuma wewe, kuna watu ambao wana umimi na umbea km wabongo..Kwa kweli Kenya yabidi kubadilika....hata watanzania wakienda Kenya wanachukiwa sana na kua harassed. Wao wakija huku Tanzania hatuna matatizo wala time na wao.....wapo tu freely wanakula raha without being harassed.
Kwani hayo maeneo tajwa wanaishi watu waaina gani dingi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna kibopa anaishi uko?Mkuki ke nguruwe binadamu tamu sio[emoji1787][emoji1787]
Ndio sababu Alshabaab wanawachomeka vidole mat**akoni kila mara kadri wapendavyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kuongea vitu kisengerenyuma wewe, kuna watu ambao wana umimi na umbea km wabongo..
Mtu akiwa mgeni hko kwenu kazi kumfuatilia wala hamumpi pumzi..
Eti utasikia tena yule ana vibali kweli au raia haramu[emoji1787][emoji1787]
Kenya hakuna mtu ambae ana time na maisha ya watu
I think you are drunk....haya uliyosema ndiyo yanatokea Kenya...here in Tanzania who the hell gives a damn about Kenyans, be honest to yourself.Acha kuongea vitu kisengerenyuma wewe, kuna watu ambao wana umimi na umbea km wabongo..
Mtu akiwa mgeni hko kwenu kazi kumfuatilia wala hamumpi pumzi..
Eti utasikia tena yule ana vibali kweli au raia haramu[emoji1787][emoji1787]
Kenya hakuna mtu ambae ana time na maisha ya watu
We jamaa miyeyusho Sana.Dar ni miongoni mwa majiji masafi sana hapa Africa, weka ushahidi kwamba Dar ni chafu, kama unazungumzia Vingunguti na mitaa ya vichochoroni, Hiyo ni habari tofauti, lakini hakuna mgeni hata mmoja aliyelalamika kuhusu uchafu au ukosefu wa usalama Dar
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Nani asiyewajua nyie wapenda kupiga soga na kufuatilia yasiyowahusu..I think you are drunk....haya uliyosema ndiyo yanatokea Kenya...here in Tanzania who the hell gives a damn about Kenyans, be honest to yourself.
Kajiunge tukuzike mwakani[emoji1787][emoji1787]Ndio sababu Alshabaab wanawachomeka vidole mat**akoni kila mara kadri wapendavyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Muulize mwenzio aliyeanzisha hzo ishuKwani hayo maeneo tajwa wanaishi watu waaina gani dingi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna kibopa anaishi uko?
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app