Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Attachments

  • IMG_20190202_230516_250.JPG
    IMG_20190202_230516_250.JPG
    43.1 KB · Views: 19
Mo pesa zake bora akaanzishe mradi wa ma kufuga samaki .... atengeneze mabwawa ya kutosha kabisa. ..hicho kilimo kitamsaidia mnoo kumuongezea mapato katika acc zake ..nchi nayo itanufaika pia kwa sababu kuna vijana ambao watapata ajira. Pia serikali itapata kodi ..achilia mbali wafanya biashara watakao nufaika kwa kupata soko la uchukuzi wa samaki " wao watakuwa wana wanunua na kuwauza kwa wateja wa majumbani mahotelini " na ma -butcher's hapo bado kuna watakao nufaika kwa kupata tenda za usafirishaji ..

Hahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom