joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Naona waarabu wanapiga sambusa, kampa kampa tena ball possession 70 kwa 30.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu wa Algeria walichemka hapa kwao kuna 7° wakakutana na 32° kwanini wasinuke damu? Hata Al ahly ataisoma nambaSasa Mkuu huko kwao joto si ndio kwao? Yani unamtishia Muarabu joto? Kuwa serious bhana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hamna goli au likiwepo ni moja na sio zaidi na anaweza kulipata Simba.
Tactically mechi ilishaisha by HT, vyura mlijua Ahly watarudi na tempo ile ile ya first half wakati mecho tayari ilishaisha. Ndio maana wengi mlianza kutabiri nane mara tisa ila mbinu za soka hewa kabisa hamzijui [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha pole sana kiongoziHamna goli au likiwepo ni moja na sio zaidi na anaweza kulipata Simba.
Tactically mechi ilishaisha by HT, vyura mlijua Ahly watarudi na tempo ile ile ya first half wakati mecho tayari ilishaisha. Ndio maana wengi mlianza kutabiri nane mara tisa ila mbinu za soka hewa kabisa hamzijui [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Yeye kocha wa yanga mambo ya simba yanamuhusu nini? Sijawahi kumsikia Guardiola akizungumzia mechi la Liverpool ambazo hazimuhusu huu ni upumbavu.
Mechi ikiisha ibua tena habari ya uzushi anzishia uzi alafu usisahau kunitag [emoji23][emoji23]
vipi wakuu mbona kimya sana
Jamaa yupo siriaz kinoma.Mkuu ni utani,,,,,,,,,hata nao walipokuwa wanapatwa na haya yanayotupata tuliwatania sana.........ni sehemu ya kuondolewa stress za maisha....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Mkuu, wapo dakika ya ngapi na matokeoa mpaka sasa ni ngapiMimi soka la bongo hapana aisee
Toka tishindwe kupata draw kwa lesotho nililidharau sana soka letu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajui walitendalo..Unajua shida ya kukaa sana bwawani, siku ukija kuvuliwa unakuwa kama zezeta[emoji196][emoji196][emoji23][emoji23]Hamna goli au likiwepo ni moja na sio zaidi na anaweza kulipata Simba.
Tactically mechi ilishaisha by HT, vyura mlijua Ahly watarudi na tempo ile ile ya first half wakati mecho tayari ilishaisha. Ndio maana wengi mlianza kutabiri nane mara tisa ila mbinu za soka hewa kabisa hamzijui [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mjomba anagalia hata ninavyomaliza comments zangu naweka emoji gani. Sio kwamba naandika kwa hasira ni ile kuchangamsha genge tu sasa naona una catch feelings. Hiyo ni juu yako wala sihusiki hata. Ningekuwa toxic wala hapa nisingekuwepo [emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa yupo siriaz kinoma.
Akili inakua ishachujia kwenye maji [emoji23][emoji23]Hawajui walitendalo..Unajua shida ya kukaa sana bwawani, siku ukija kuvuliwa unakuwa kama zezeta[emoji196][emoji196][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app