Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Naipenda SIMBA na nitaendelea kuipenda Simba ,ila sifurahishwi na baadhi ya wachezaji wetu
 
Papaa Zahera aliwaeleza mapema
IMG_20190202_233727.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Mkuu huko kwao joto si ndio kwao? Yani unamtishia Muarabu joto? Kuwa serious bhana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Waarabu wa Algeria walichemka hapa kwao kuna 7° wakakutana na 32° kwanini wasinuke damu? Hata Al ahly ataisoma namba
 
Hamna goli au likiwepo ni moja na sio zaidi na anaweza kulipata Simba.

Tactically mechi ilishaisha by HT, vyura mlijua Ahly watarudi na tempo ile ile ya first half wakati mecho tayari ilishaisha. Ndio maana wengi mlianza kutabiri nane mara tisa ila mbinu za soka hewa kabisa hamzijui [emoji23][emoji23][emoji23]


[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Nyie mnajua mbinu kali za kufungwa goli ndani ya dakika 40
 
Hamna goli au likiwepo ni moja na sio zaidi na anaweza kulipata Simba.

Tactically mechi ilishaisha by HT, vyura mlijua Ahly watarudi na tempo ile ile ya first half wakati mecho tayari ilishaisha. Ndio maana wengi mlianza kutabiri nane mara tisa ila mbinu za soka hewa kabisa hamzijui [emoji23][emoji23][emoji23]


[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha pole sana kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papaa Zahera aliwaeleza mapemaView attachment 1011842

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye kocha wa yanga mambo ya simba yanamuhusu nini? Sijawahi kumsikia Guardiola akizungumzia mechi la Liverpool ambazo hazimuhusu huu ni upumbavu.
.
Huyu mkongo anataka kujifanya anajua sana kila kitu kuchangisha pesa yeye, uafisa habari yeye, utunza hazina yeye pumbavu
 
Hamna goli au likiwepo ni moja na sio zaidi na anaweza kulipata Simba.

Tactically mechi ilishaisha by HT, vyura mlijua Ahly watarudi na tempo ile ile ya first half wakati mecho tayari ilishaisha. Ndio maana wengi mlianza kutabiri nane mara tisa ila mbinu za soka hewa kabisa hamzijui [emoji23][emoji23][emoji23]


[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hawajui walitendalo..Unajua shida ya kukaa sana bwawani, siku ukija kuvuliwa unakuwa kama zezeta[emoji196][emoji196][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa yupo siriaz kinoma.
Mjomba anagalia hata ninavyomaliza comments zangu naweka emoji gani. Sio kwamba naandika kwa hasira ni ile kuchangamsha genge tu sasa naona una catch feelings. Hiyo ni juu yako wala sihusiki hata. Ningekuwa toxic wala hapa nisingekuwepo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpira hauchezwa na mdomo bali ni mchezo wa mguu na bidii. Tanzanian top side Simba has been humiliated for the second time in a row in an African tournament, CAF.
IMG_20190202_234629_743.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom