Mtanda fuatilia kwa karibu mradi wa jengo la uwanja wa ndege la kimataifa Mwanza, limesimama tena

Mtanda fuatilia kwa karibu mradi wa jengo la uwanja wa ndege la kimataifa Mwanza, limesimama tena

Hata Kenya ambapo wapo wazungu wengi sana wanaishi na kumiliki mashamba na biashara kubwa na wakenya wengi sana husafiri kwenda kokote duniani, kiwanja cha kimaifa kwa maana halisi ni Jomo Kenyatta International Aiport, hata Mombasa International Airport in feed JKIA tu hairushi ndege moja kwa moja Dubai au Amsterdam. Sasa international airport Mwanza si itakuwa hasara tupu?
Siyo lazima tuige kila kitu
 
Mwanza haina abiria wengi wanaoweza kusababisha kujengwa international airport. Hakuna shughuli za kimataifa kama Arusha, Dar, Dodoma. Mnataka international airport ya nini?
Umetumia vigezo gani kusema abiria ni wachache kwahiyo ili watu kutoka ukanda ule wasafiri kwenda safari za nje inawalazimu kupitia KIA na JYIA huoni kama ni mambo ya kijima kaika zama hızı kanda ule unao abiria wa kutosha na makampuni ya madini yenye wafanyakazi waliotoka nje ya Tanzania lukuki kuna umuhimu gani safari zoo zianzie Dar wanapotaka kurudi likizo makwao? Wafanyabiashara pia wanaohitaji kusafiri nchi mbalimbali
 
Mimi naipenda Mwanza sana na nashangaa kwanini serikali haiendelezi mji mzuri na mkubwa kama Mwanza. Mwanza ilipaswa kuwa jiji kubwa na zuri kweli kweli. Ilipaswa barabara ya njia nane kilometer 30 kabla ya kufika katikati ya mji, treni nzuri, kiwanja kikubwa cha mpira kama cha Dar, n.k.

Ila Mwanza kwa international airport bado.

Unakosea kuhusu viwanja bize vya ndege nchini, ipo hivi:
1. Dar (JNIA)
2. Zanzibar (ZNZ)
3. Kilimanjaro (JRO)
4. Arusha (ARK)
5. Dodoma (DOD)
6. Mwanza (MWZ)

Sote tunajua jinsi uwanja wa ndege Chato (HTGE) unavyotumika na wenyeji kuanikia mpunga. Sasa hapo Mwanza mnataka uwanja wa kimataifa wa ndege kwa kuanikia sangara? Kazi za viwanja vya kimataifa sio hiyo!
Hauko sahihi hebu rejea tafiti zako upya
 
Ukiona nyani mjini jua ni wa kufungwa, Mtanda kapelekwa kupiga pesa na majangili wenzake, ukiona anafuatilia ujue kwenye mgao hakuwemo.
 
Mimi ninazo sababu za Mwanza kuwa na international airport km ifuatavyo:
1. ni jiji la pili Tanzania kiuchumi kwa Dar
2. jiji hili liko kimkakati "strategic" kwenye ukanda wa nchi za Maziwa Makuu,Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi,DRC, kibiashara
3.Ni mwisho na kituo kikuu cha SGR, ina Bandari kubwa kavu na Majini kanda ya ziwa Makuu ndani ya ziwa viktoria
4.Hakuna uwanja wa ndege kimataifa kanda ya ziwa na magharibi,mazao ya samaki na nyama husafirishwa kupitia kenya na uganda na hivyo kunufaisha nchi hizo kiuchumi kwa mgongo wa Tanzania
5 Kiutalii Iko karibu na mbuga za Serengeti, Burigi Chatto na Rumanyika, uwepo wa uwanja wa ndege wa kimataifa utanufaisha nchi yetu kimapato.
6.uchumi wa kanda ya ziwa ni mkubwa kuna madini,kilimo,uvuvi,mifugoetc husafirishwa kupitia Nairobi au JNIA gharama kubwa za uzalishaji ns usafirishaji kwa mwekezaji
7.Uwanja huu unatumika na abiria wengi ni namba nne kwa JNIA,KIA na ZNZ airprt.ATCL inapeleka ndege mara 4- 5 inahudumia abiria wengi kuliko jiji lingine ukiacha dar nchini.
8. Angalau kuna miundo mbinu inayokubalika na ICAO na IATA Km Rada,control tower ya kisasa na barabara njia 4 kuingia uwanjani upungufu mkubwa uiopo ni jengo la abiria na mizigo, upanuzi wa njia ya kurukia ndege na taxi parking,hotel etc
9.Ilani ya uchaguzi ya ccm 2020 inaitaka serikali kujenga uwanja wenye hadhi ya kimataifa Mwanza. Ni kipaumbele cha kitaifa
jesababu hizi zote unazionaje hazitoshi kuufanya uwe wa kimataifa.
Huyo unayemcommentia kakuhangaisha tu bure mzee wa watu!

Nadhani yupo kwenye utani ama kejeli.

Nani asiyefahamu umuhimu wa mji wa Mwanza kiuchumi na kijiografia, hata mtoto mdogo anajua!
 
Nina mashaka hata kama ushawahi safiri kwenda Mwanza kutumia Usafiri wa ndege
Ka uwanja ka Arusha, sio KIA, kale ka uwanja ka Arusha mjini kapo bize zaidi ya Mwanza, soma hapa chini:
Show drafts

volume_up

gemini_sparkle_v002_d4735304ff6292a690345.svg



The busiest airports in Tanzania, based on total passenger traffic, are:
  1. Julius Nyerere International Airport (DAR): Located in Dar es Salaam, this is the largest and busiest airport in Tanzania, handling around 2.5 million passengers annually. It is the main gateway to the country and serves as a hub for several airlines.
    Image of Julius Nyerere International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Julius Nyerere International Airport, Tanzania
  2. Abeid Amani Karume International Airport (ZNZ): This airport is situated on Zanzibar Island and is the second busiest in Tanzania. It caters mainly to tourists visiting Zanzibar's beautiful beaches and resorts, with a passenger volume of approximately 1.7 million annually.
    Image of Abeid Amani Karume International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Abeid Amani Karume International Airport, Tanzania
  3. Kilimanjaro International Airport (JRO): Located near Kilimanjaro National Park, this airport is a major gateway for tourists visiting the northern safari circuit. It handles around 1.2 million passengers each year.
    Image of Kilimanjaro International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Kilimanjaro International Airport, Tanzania
  4. Arusha Airport (ARK): This is a smaller airport compared to the others on this list. However, it plays a crucial role in domestic travel within Tanzania, particularly for tourists on safari adventures.
 
Sawa ila lazima uangalie ukaribu na vivutio hivyo na vipo vingi sehemu gani. Huwezi kujenga tourist hub Kigoma ambapo vivutio vya utalii ni vichache ukaacha kujenga hub hiyo mahali kama Arusha ambapo vivitio hivyo vimelundikana. Mwanza ukiacha Ziwa Victoria kuna national parks ngapi ukilinganishwa na ukanda wa Kaskazini? Kilimanjaro national park, Mkomazi np, Arusha np, Tarangire np, Manyara np, Ngorongoro np, na nyingine nyingi. Kwanini kuanza kuvunja nguvu hii kwa kuanzisha circuits nyingine pengine zitazoongeza gharama tu kwa serikali na watalii?
Mimi naona Watanzania bado tuna mambo ya kitoto sana! Kwa vile Arusha kuna mbuga nyingi za wanyama na utalii kwa ujumla kwa hiyo sehemu zingine hazitakiwi kukua kiutalii kwa sababu zitafifisha utalii wa Arusha! Ndo maana nchi hii bado Maskini sana!
 
Nilishawahi kusema na narudia tena, Mwanza ni kati ya mikoa inayofanyiwa figisu sana. Kwa sababu huu mkoa ukiendelezwa utavunja rekodi nyingi sana kuanzia makusanyo, biashara na njia mbali mbali za kiuchumi.
 
Sote tunajua jinsi uwanja wa ndege Chato (HTGE) unavyotumika na wenyeji kuanikia mpunga. Sasa hapo Mwanza mnataka uwanja wa kimataifa wa ndege kwa kuanikia sangara? Kazi za viwanja vya kimataifa sio hiyo!
Utakuwa una matatizo ya kipekee sana kama una mawazo ya aina hii!
 
Unakosea kuhusu viwanja bize vya ndege nchini, ipo hivi:
1. Dar (JNIA)
2. Zanzibar (ZNZ)
3. Kilimanjaro (JRO)
4. Arusha (ARK)
5. Dodoma (DOD)
6. Mwanza (MWZ)
Hii orodha umeitoa wapi? Weka chanzo cha taarifa hii tuione wenyewe.

Kwa hiyo kwa kigezo hiki Arusha (ARK) inastahili kuwa International Airport, lakini Mwanza haistahili kwa kuwa haina kigezo hicho?

Ukweli ni huu, pamoja na Arusha kuwa na mkao ya Jumuia ya Afrika Mashariki, mji huo hautakuwa tofauti sana na miji kama Washington D.C., kubaki tu na sifa hiyo ya kuwa makao makuu; lakini kiuchumi haitakwenda mbali sana.
 
Ujinga wako ni mkubwa mno wewe. Kama una akili za kusoma na kuelewa basi soma hapo chini. Mwanza inazidiwa hata na uwanja mdogo wa Arusha achilia mbali KIA. Mwanza aiport haipo hata namba 6 labda 7.
The busiest airports in Tanzania, based on total passenger traffic, are:
  1. Julius Nyerere International Airport (DAR): Located in Dar es Salaam, this is the largest and busiest airport in Tanzania, handling around 2.5 million passengers annually. It is the main gateway to the country and serves as a hub for several airlines.
    Image of Julius Nyerere International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Julius Nyerere International Airport, Tanzania
  2. Abeid Amani Karume International Airport (ZNZ): This airport is situated on Zanzibar Island and is the second busiest in Tanzania. It caters mainly to tourists visiting Zanzibar's beautiful beaches and resorts, with a passenger volume of approximately 1.7 million annually.
    Image of Abeid Amani Karume International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Abeid Amani Karume International Airport, Tanzania
  3. Kilimanjaro International Airport (JRO): Located near Kilimanjaro National Park, this airport is a major gateway for tourists visiting the northern safari circuit. It handles around 1.2 million passengers each year.
    Image of Kilimanjaro International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Kilimanjaro International Airport, Tanzania
  4. Arusha Airport (ARK): This is a smaller airport compared to the others on this list. However, it plays a crucial role in domestic travel within Tanzania, particularly for tourists on safari adventures.
Kwa hiyo
Ujinga wako ni mkubwa mno wewe. Kama una akili za kusoma na kuelewa basi soma hapo chini. Mwanza inazidiwa hata na uwanja mdogo wa Arusha achilia mbali KIA. Mwanza aiport haipo hata namba 6 labda 7.
The busiest airports in Tanzania, based on total passenger traffic, are:
  1. Julius Nyerere International Airport (DAR): Located in Dar es Salaam, this is the largest and busiest airport in Tanzania, handling around 2.5 million passengers annually. It is the main gateway to the country and serves as a hub for several airlines.
    Image of Julius Nyerere International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Julius Nyerere International Airport, Tanzania
  2. Abeid Amani Karume International Airport (ZNZ): This airport is situated on Zanzibar Island and is the second busiest in Tanzania. It caters mainly to tourists visiting Zanzibar's beautiful beaches and resorts, with a passenger volume of approximately 1.7 million annually.
    Image of Abeid Amani Karume International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Abeid Amani Karume International Airport, Tanzania
  3. Kilimanjaro International Airport (JRO): Located near Kilimanjaro National Park, this airport is a major gateway for tourists visiting the northern safari circuit. It handles around 1.2 million passengers each year.
    Image of Kilimanjaro International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Kilimanjaro International Airport, Tanzania
  4. Arusha Airport (ARK): This is a smaller airport compared to the others on this list. However, it plays a crucial role in domestic travel within Tanzania, particularly for tourists on safari adventures.
Kutuwekea hii orodha uliokota huko google bado haileti sababu zenye mantiki kwamba kwanini Mwanza isiwe na international airport....kwa kwa akili yako basi Arusha ina sifa za kuwa na international airport kuliko mwanza kwa sababu ulizoziweka hapo licha ya kwamba ule wa KIA upo hapo jirani au??

Wewe ni mpumbaavu sana na akili zako za kibaguzi, huna akili hata kidogo.... watu wameshakueleza hapo, sababu za kukua kwa shughuli za kiuchumi zinatosha kabisa kufanya mwanza pawepo na hiyo Int. Airport, lakini wewe bado umekaza fuvu na kuona kwa sababu hakuna influx ya wazungu basi ndio hakuna haja ya kuwepo kwa uwanja wa kimataifa, fala kweli wewe...!!

Na pia umeulizwa swali kwa akili yako wewe unaamini mwanza iatendelea hivyo hivyo hata kwa miaka 10 ijayo kiasi kwamba hapakuwa na wtu wa kufanya biashara kimataifa ambao watahitaji International flights za mara kwa mara?? Wewe hujajibu umekimbilia Google kuleta ushubwada ambao hauna umuhimu wote zaidi ya kutaka kujikweza tu.

Nchi kubwa kama hii ambayo inaonekana kuwa ni logistic hub kwa nchi jirani zaidi ya tano kuwa na airport mbili tu za kimataifa, halafu bado kuna wapuuzi kama wewe mnaojaribu kukwamisha maboresho ya viwanja vya sehemu zingine.... kwakweli inatia hasira sana.
 
Utakuwa una matatizo ya kipekee sana kama una mawazo ya aina hii!
Ni lijitu la kaskazini hilo, linasumbuliwa na chuki za kikanda ndio maana limeshupaza shingo kuona sehemu zingine hawastahili kuwa na mtaendeleo kwenye usafiri wa anga kimataifa... hao wanaamini huko kwao kaskazini ndio wanastahili mambo yote ya maana ikiwemo miundo mbinu iliyobora.

Fala sana huyo jamaa,
 
Ka uwanja ka Arusha, sio KIA, kale ka uwanja ka Arusha mjini kapo bize zaidi ya Mwanza, soma hapa chini:
Show drafts

volume_up

gemini_sparkle_v002_d4735304ff6292a690345.svg



The busiest airports in Tanzania, based on total passenger traffic, are:
  1. Julius Nyerere International Airport (DAR): Located in Dar es Salaam, this is the largest and busiest airport in Tanzania, handling around 2.5 million passengers annually. It is the main gateway to the country and serves as a hub for several airlines.
    Image of Julius Nyerere International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Julius Nyerere International Airport, Tanzania
  2. Abeid Amani Karume International Airport (ZNZ): This airport is situated on Zanzibar Island and is the second busiest in Tanzania. It caters mainly to tourists visiting Zanzibar's beautiful beaches and resorts, with a passenger volume of approximately 1.7 million annually.
    Image of Abeid Amani Karume International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Abeid Amani Karume International Airport, Tanzania
  3. Kilimanjaro International Airport (JRO): Located near Kilimanjaro National Park, this airport is a major gateway for tourists visiting the northern safari circuit. It handles around 1.2 million passengers each year.
    Image of Kilimanjaro International Airport, TanzaniaOpens in a new windowen.wikipedia.org
    Kilimanjaro International Airport, Tanzania
  4. Arusha Airport (ARK): This is a smaller airport compared to the others on this list. However, it plays a crucial role in domestic travel within Tanzania, particularly for tourists on safari adventures.
Hapana haiko hivyo Namba 4 ni Mwanza airport baada ya Kilimanjaro acha kutuongopea
 
Ni lijitu la kaskazini hilo, linasumbuliwa na chuki za kikanda ndio maana limeshupaza shingo kuona sehemu zingine hawastahili kuwa na mtaendeleo kwenye usafiri wa anga kimataifa... hao wanaamini huko kwao kaskazini ndio wanastahili mambo yote ya maana ikiwemo miundo mbinu iliyobora.

Fala sana huyo jamaa,
Inanilazimu nikubaliane na wewe, kwamba huyu mkuu 'fazil' ni kati ya watu ambao wana hofu kubwa sana juu ya kuinuka kwa Jiji la Mwanza; hofu ambayo haipaswi kuwepo hata kidogo.
Mwanza haitaipunguzia kitu Arusha, kila sehemu itainuka kutegemea na vilivyopo, vitakavyo iinua sehemu hiyo.

Mkuu 'fazil', bado anaamini kuwa "Utalii" ni kuwa na mbuga za wanyama, au milima; anasahau kuwa utalii unazo sehemu nyingi tu Kama: utalii wa kiafya (medical tourism), utalii wa mikutano, n.k.,
Kwa hiyo yeye anadhani siku zote mambo yote yataelekezwa huko tu anakokupigania yeye. Hajui kwamba hawezi kuzuia maendeleo ya nchi sehemu zingine za nchi hii. Kila sehemu itainuka kufuata ilicho nacho na mazingira ya hiyo sehemu ilipo.
Mwanza ipo mahali isipoweza kuzuiwa kuwa jiji la kimataifa. Na kuwa jiji la kimataifa kunaendana na miundombinu muhimu kama hiyo international airport. Hivi vinakuja tu, utake usitake.
yanaweza kucheleweshwa tu, kama ilivyo sasa, lakini hakuna mwenye uwezo wa kuzuia mabadiliko stahiki inayoyahitaji Mwanza.
 
Wakipitia Arusha ndio kila kitu kwanza wanaanza na:
My Kilimanjaro, then
Arusha national park
Tarangire
Manyara
Ngorongoro halafu ndio
Serengeti
Arusha pamekaa kistratejia zaidi
Arusha na Dodoma mmezoea kubebwa na serikali iko siku!
 
Tumieni uwanja wa Gbadolite aka Chato mnataka international airports 2 kwa abiria gani au mnabebea ng'ombe?
 
Pesa za ujenzi zimeisha.tumepeleka Zanzibar ili iwe kama Dubai
 
Kisera Serikali ilikwisha amua kujenga international airport Mwanza na Rais akaelekeza na Kampuni ya Mzawa Taifa ya Rostam imepewa tenda muhimu tunauliza mbona kimya,Said Mtanda ameanza kutembelea miradi ya Mwanza huu mradi wanaukwepa sana,Makalla hakuuonea aibu. we want action
 
Back
Top Bottom