Mtandao wa Airtel unasumbua mno maeneo ya mikoa ya Pwani

Mtandao wa Airtel unasumbua mno maeneo ya mikoa ya Pwani

Airtel wameshanipigia simu mara kadhaa kunitaarifu kuwa eneo nililopo wameshaunganisha huduma ya 4g hivyo niende dukan kwao nikabadili lain yangu kuwa 4g kwa gharama ya shilingi elf moja,kila siku nawajibu kistaarabu tu ila nimepanga wakija kunipigia tena safari hii nitawajibu "rekebisheni kwanza mtandao wenu ndio nihamie huko 4g mana kama hiyo 3g tu niyakuunga unga vipi huko 4g"
 
Pamoja na network yao kusumbua lakini kuna jambo nimeliexperience kuhusu hii ishu ya simu kutopatikana ilhali ipo hewani na inayofanana na hii.

Nakubaliana na mdau aliyesema hapo juu kwamba ni tatizo la 4G.

USHAURI;-
Usiweke manual 4G, bali weka Automatic kwa sababu unaweza ukaweka 4G only halafu kumbe sehemu uliyopo haisupport hyo 4G.
 
Pamoja na network yao kusumbua lakini kuna jambo nimeliexperience kuhusu hii ishu ya simu kutopatikana ilhali ipo hewani na inayofanana na hii.

Nakubaliana na mdau aliyesema hapo juu kwamba ni tatizo la 4G.

USHAURI;-
Usiweke manual 4G, bali weka Automatic kwa sababu unaweza ukaweka 4G only halafu kumbe sehemu uliyopo haisupport hyo 4G.
Mambo kama haya walitakiwa wao wawe wanarevert kwa wateja ASAP, ni huduma mbovu sana aisee.
 
Back
Top Bottom