Huku kodi balaa. Washwahili wana nongwa sana, bado wanafikiri kuwa kuwa na gari ni utajiri.Wakati gari ni nyenzo tu.Wajuzi wa mambo si mseme namna kodi zilivyo huko alibaba
Sio nongwaHuku kodi balaa. Washwahili wana nongwa sana, bado wanafikiri kuwa kuwa na gari ni utajiri.Wakati gari ni nyenzo tu.
Kweli Kaka ni roho mbaya tu, Mjapan hana hata shida anakutupia tu gari kwa bei ya kutupa na wala hajui kuna kitu kinaitwa uchakavu, Kwa ujinga wetu tunampa hela ya kuthaminisha gari lake uchakazu, halafu tunalinunua, Hana taabu.Sio nongwa
No roho mbaya
Hapo bado transport cost huo ni ushuru tu, ujaongeza bei ya gariWajuzi wa mambo si mseme namna kodi zilivyo huko alibaba
Tunaoishi kwenye hii nchi tuna moyo sanaHapo bado transport cost huo ni ushuru tu, ujaongeza bei ya gari
View attachment 1911304Mtandao wa Alibaba una magari ya bei nafuu sana, Sijajua ushuru wake kuyaingiza nchini
Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao...www.jamiiforums.com
hata mm hawa jamaa walinishangaaza.Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao ya beforward, Car junction, SBT Japan na sio hapa Alibaba,
Mfano wa bei na magari kwenye mtandao wa Alibaba
View attachment 1911178
View attachment 1911181
View attachment 1911183
View attachment 1911184
@Mwl.RCTNimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao ya beforward, Car junction, SBT Japan na sio hapa Alibaba,
Mfano wa bei na magari kwenye mtandao wa Alibaba
View attachment 1911178
View attachment 1911181
View attachment 1911183
View attachment 1911184
Hizi bei ni za kawaida tu, kama SBT au TCV. Unapoona ameweka range ya bei basi wewe utauziwa kwa hizo bei za kulia (kubwa), labda uwe sijui unachukua magari mangapi ndo upewe kwa bei za kushoto (ndogo).Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao ya beforward, Car junction, SBT Japan na sio hapa Alibaba,
Mfano wa bei na magari kwenye mtandao wa Alibaba
View attachment 1911178
View attachment 1911181
View attachment 1911183
View attachment 1911184
HahahaHizi bei ni za kawaida tu, kama SBT au TCV. Unapoona ameweka range ya bei basi wewe utauziwa kwa hizo bei za kulia (kubwa), labda uwe sijui unachukua magari mangapi ndo upewe kwa bei za kushoto (ndogo).
By the way huko Alibaba kuna matapeli wanaouza PS5 mpaka Kwa $150, tena unaambiwa buy 2, get 1 extra free ila sasa ukilipa tu unakula block so sio pa kupaamini Sana.