Mtandao wa Alibaba una magari ya bei nafuu sana, Sijajua ushuru wake kuyaingiza nchini

Mtandao wa Alibaba una magari ya bei nafuu sana, Sijajua ushuru wake kuyaingiza nchini

Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao ya beforward, Car junction, SBT Japan na sio hapa Alibaba,

Mfano wa bei na magari kwenye mtandao wa Alibaba
View attachment 1911178
View attachment 1911181
View attachment 1911183
View attachment 1911184
Hizo ni internet prices na sio market price
 
Tunataka wataalamu wa Kodi watueleze
Gari yeyote unayoiona kwenye web yeyote nje ya nchi, chukua details zake then nenda kwenye calculator ya TRA, details itakayo taka uwe nazo ni aina ya gari, model yake, engine size, aina ya mafuta, ni ya mwaka gani na inatoka nchi gani though hi ya nchi sio muhimu kiviile cause sometimes wao ni kama hua wanalazimisha, ukisema Toyoya calculator ya TRA inajua ni Japan while sometimes inaweza kua Ulaya au Malysia nk. Tumia hizo details then come back here for more questions
 
Gari yeyote unayoiona kwenye web yeyote nje ya nchi, chukua details zake then nenda kwenye calculator ya TRA, details itakayo taka uwe nazo ni aina ya gari, model yake, engine size, aina ya mafuta, ni ya mwaka gani na inatoka nchi gani though hi ya nchi sio muhimu kiviile cause sometimes wao ni kama hua wanalazimisha, ukisema Toyoya calculator ya TRA inajua ni Japan while sometimes inaweza kua Ulaya au Malysia nk. Tumia hizo details then come back here for more questions
Hiyo link ni ipi niliwahi kumuomba mfanyakazi wa TRA niliambulia maswali kama wamemuona HAMZA
 
Hapana, wana category ya spare na used cars. Na kwenye upande wa spare hawaweki gari zima ni spare husika tu
Duuh...! Kama ni hivyo wako vizuri. Hata kodi ikiwa kubwa,kwa hiyo double kibin ya land cruiser ya milioni 9 hata kodi ikiwa milioni 20 sio mbaya
 
Duuh...! Kama ni hivyo wako vizuri. Hata kodi ikiwa kubwa,kwa hiyo double kibin ya land cruiser ya milioni 9 hata kodi ikiwa milioni 20 sio mbaya
Hiyo Land cruiser kodi ni 30m, bado usafirishaji
 
Hapo bado transport cost huo ni ushuru tu, ujaongeza bei ya gari
View attachment 1911304
Bado iko vizuri. Hapo maana yake unajumlisha hiyo m.30 na ile m.9 sio ndio mkuu?. Labda na usafiri hivi
 
Kuishi kwenye hii nchi ni chuo tosha. Hakuna mahala unaweza ukashindwa kuishi
Magari ya umeme yakianza kuwa imported sijui watayachaji kwa Watts? maaana ya mafuta wanalala na Engine CC.
 
hizo unaziona hapo zimewekwa kwa mnada the last bidder anachukua mzigo,
hiyo bei nyingi ni ile ya wa mwisho aliyeweka dau,
hata amazon wanafanya hiyo kitu,
ila kwa ushauri ukitaka gari nunua moja kwa moja kupitia platform sahihi zinazojihusisha na magari tu,
ukitaka kuamini ingia site zingine zinazouza magari utakutana na bei za juu kuzidi hizo
Kama nimekuelewa hivi.
 
Kweli Kaka ni roho mbaya tu, Mjapan hana hata shida anakutupia tu gari kwa bei ya kutupa na wala hajui kuna kitu kinaitwa uchakavu, Kwa ujinga wetu tunampa hela ya kuthaminisha gari lake uchakazu, halafu tunalinunua, Hana taabu.
Mswahili sasa, ameona ndio mahali pa kuvuna pesa, eti na yeye anazumgumzia uchakavu wakati Magari kibao yako mtaani zaidi ya Miaka 20 hapa hapa Bongo!!
Huyu ndio Mwafrika.
Ni CCM mkuu..
 
Alibaba nunua chupi, bra, viatu, nguo, sox, handbangs, wigi, SMEs na electric and electronic equipments, ila cars, bikes, tractors, caterpillars, ships, airplanes, helicopters sio sehemu yake. Plz, labda ukute tangazo, alafu chukua link, ufuatilie kwa umakini, na usilipe hata sent ukitaka kununua hizo vitu, fanya sasa uende mwenyewe hata China, ni safari ya masaa 15 toka Dar via Dubai China, either Shanghai or Guangzhou
 
Back
Top Bottom