Hizo ni internet prices na sio market priceNimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao ya beforward, Car junction, SBT Japan na sio hapa Alibaba,
Mfano wa bei na magari kwenye mtandao wa Alibaba
View attachment 1911178
View attachment 1911181
View attachment 1911183
View attachment 1911184
Gari yeyote unayoiona kwenye web yeyote nje ya nchi, chukua details zake then nenda kwenye calculator ya TRA, details itakayo taka uwe nazo ni aina ya gari, model yake, engine size, aina ya mafuta, ni ya mwaka gani na inatoka nchi gani though hi ya nchi sio muhimu kiviile cause sometimes wao ni kama hua wanalazimisha, ukisema Toyoya calculator ya TRA inajua ni Japan while sometimes inaweza kua Ulaya au Malysia nk. Tumia hizo details then come back here for more questionsTunataka wataalamu wa Kodi watueleze
Hiyo link ni ipi niliwahi kumuomba mfanyakazi wa TRA niliambulia maswali kama wamemuona HAMZAGari yeyote unayoiona kwenye web yeyote nje ya nchi, chukua details zake then nenda kwenye calculator ya TRA, details itakayo taka uwe nazo ni aina ya gari, model yake, engine size, aina ya mafuta, ni ya mwaka gani na inatoka nchi gani though hi ya nchi sio muhimu kiviile cause sometimes wao ni kama hua wanalazimisha, ukisema Toyoya calculator ya TRA inajua ni Japan while sometimes inaweza kua Ulaya au Malysia nk. Tumia hizo details then come back here for more questions
Ingia hapa https://www.tra.go.tz/ then fuata malekezo, utafika hapa Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System then jaza hayo maswali utakayo ulizwa hapo, simple as thatHiyo link ni ipi niliwahi kumuomba mfanyakazi wa TRA niliambulia maswali kama wamemuona HAMZA
Duuh...! Kama ni hivyo wako vizuri. Hata kodi ikiwa kubwa,kwa hiyo double kibin ya land cruiser ya milioni 9 hata kodi ikiwa milioni 20 sio mbayaHapana, wana category ya spare na used cars. Na kwenye upande wa spare hawaweki gari zima ni spare husika tu
Kabisa. Viongozi wa nchi hii wanatamani hata darasa la saba usiwe umefika. Wanatamani waendelee kumtawala mtu masikini sanaSio nongwa
Ni roho mbaya
Bado iko vizuri. Hapo maana yake unajumlisha hiyo m.30 na ile m.9 sio ndio mkuu?. Labda na usafiri hiviHapo bado transport cost huo ni ushuru tu, ujaongeza bei ya gari
View attachment 1911304Mtandao wa Alibaba una magari ya bei nafuu sana, Sijajua ushuru wake kuyaingiza nchini
Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao...www.jamiiforums.com
Kuishi kwenye hii nchi ni chuo tosha. Hakuna mahala unaweza ukashindwa kuishiTunaoishi kwenye hii nchi tuna moyo sana
Kama nimekuelewa hivi.hizo unaziona hapo zimewekwa kwa mnada the last bidder anachukua mzigo,
hiyo bei nyingi ni ile ya wa mwisho aliyeweka dau,
hata amazon wanafanya hiyo kitu,
ila kwa ushauri ukitaka gari nunua moja kwa moja kupitia platform sahihi zinazojihusisha na magari tu,
ukitaka kuamini ingia site zingine zinazouza magari utakutana na bei za juu kuzidi hizo
Asante mkuuIngia hapa Tanzania Revenue Authority - Home then fuata malekezo, utafika hapa Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System then jaza hayo maswali utakayo ulizwa hapo, simple as that
Ni CCM mkuu..Kweli Kaka ni roho mbaya tu, Mjapan hana hata shida anakutupia tu gari kwa bei ya kutupa na wala hajui kuna kitu kinaitwa uchakavu, Kwa ujinga wetu tunampa hela ya kuthaminisha gari lake uchakazu, halafu tunalinunua, Hana taabu.
Mswahili sasa, ameona ndio mahali pa kuvuna pesa, eti na yeye anazumgumzia uchakavu wakati Magari kibao yako mtaani zaidi ya Miaka 20 hapa hapa Bongo!!
Huyu ndio Mwafrika.
Ni binadamu tu hawa, hata wewe tukikuweka kwenye hizo nafasi utakuwa sawa na wao.Ni CCM mkuu..