Mtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia GoogleLet it be down forever π€Mtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
Kazi ya Houthis rebels HiyoMtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
Daah x ni zaidi ya porno hub saizi πNasikia wewe ndio yule mzee wa watoto wameshalala [emoji16]
ππDaah x ni zaidi ya porno hub saizi π
Safi sana sisi wadau wa x Twitter ni furaha sana kwetu
Kwani mfumo wa satellite hauwezi kuingiliwa?Technology inakua mkuu,usiendelee kukariri
Siyo Facebook Tu, acheni kufunguwa link msizozijuwa na check settings zako tags zote mpaka uruhusu wewe kupublish kwenye wall yako.
Yani account zenu mmeziacha uchi Bila ulinzi wowote.
Wanafutaje huku tumeacha album za picha zetu wizo ππππLamomy mtandao wetu wa facebook umepigwa na kitu kizito hadi umezimika.
Jamaniii, asa itakuwajeeee uwiiiiiiiiiihhhhhhh
Injinia toa mwongozo Mufti kuku The Infinity
Hao ndio pamoja na hawa mapimbi wanaojishauwa hapa na ukatikaji mauno eti wao hawawezi kutumia Facebook, fuseeeki kabisa.Sure ,tatizo wengi hawajui matumizi mazuri ya mitandao ,nawashangaa wanaolalamika kwamba kuna post za "mizagamuo" kwenye walls zao wakati kuna settings kabisa mtu hawezi kutags wall yako mpaka uapprove.
Kina boss wa humu wapo,, NAE utamwambiaje mkuu?Great thinker kama wewe unapata wapi ujasiri wa ku log in facebook?, unafanya hivyo ili upate nini cha kipekee huko. Sisi wengine tuliishasahau username na password za fb,huko hakuna kitu
Sio rahis kama unavyodhaniLazarus brothers wamepita na seva zao
kwa nini kakaSio rahis kama unavyodhani